Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

All major buildings Nairobi - owned by Chinese
SGR - 100% Owned by Chinese
Express way - 100% owned by Chinese
90% of business in Nairobi - Owned by Somalis
Ans as we speak All projects in Kunya are funded by Chinese,
Kilimo cha Maua na Chai - Muzungu
Real estate Nairobi - Politicians .
Waliobakia wanamiliki roho zao na kunguni tu 🤣
 
Wacha kuongea uongo wewe .. internet haisahau kitu.. rumors kuhusu Magufuli kuwepo kenya kimatibabu zilianzishwa na Tundu lusi huko mitandaoni, kwasababu nyinyi ni wapenda kutembea na upepo media yenu Fulani ikapita na hiyo taarifa, na baadae ikakanusha.. unabisha.?
So kutoonekana kwa Magufuli hadharani kwa zaidi ya wiki moja na serikali yenu kukanusha madai ya kuwa alikuwa mgonjwa pia ilikuwa ni rumours za Tindu Lissu?

Kubalini yaishe...serikali yenu iliwadanganya kuhusu afya ya Rais wenu hadi dakika ya mwisho. Don't Tanzanians have the right to know the health and well-being of their leaders, more so the President? Why did your Prime Minister lie to Tanzanians that Magufuli was busy working while in real sense he was fighting for his life in hospital?
 
This is madmess at the highest level.

Bora JNHPP iishe tuwaokoe hawa majirani zetu kwa kweli wanapitia kipindi kigumu sana kama nchi binadamu kusaidiana ndio sahihi.
Ubaya wa kuchangia mada usichoelewa. Je wajua kwamba kwa sasa Kenya inazalisha umeme nyingi kuwaliko? High electricity tariffs hailetwi na ukosefu wa umeme jinsi unavyokusudia kusema, bali ni tatizo la high fuel costs which increases their operation costs. To cover for those increment, they have to hike prices.

Ndio maana huyo jamaa kasema kwenye hiyo Tweet kwamba suluhisho ni Kenya Power ku improve its internal efficiency, not necessarily increasing power tariffs
 
Haya mambo ya Magufuli hivi Magufuli vile tuachane nayo, ukweli utabaki palepale kwamba jamaa ametupa nguvu ya kutamba humu la sivyo Wakenya walikuwa wanatupiga asubuhi kweupeee, miaka nenda rudi walikuwa wanatutukana kwamba linchi kubwa na lina kila kitu lkn mazembe ya Tz yamekaa tuu, na huo ndio ulikuwa ukweli tukubali tukatatae.

Leo hii Wakenya tumewaacha mbali kwenye maendeleo, wamebaki na paper GDP ambayo nayo tunakwenda kuifutilia mbali. Magufuli alibadilisha maandishi kuwa uhalisia, Dodoma ilikuwa kwenye makaratasi, electrifitried SGR ilikuwa kwenye makaratasi, barabara nyingi mpk za mitaani zilikuwa kwenye makaratasi, masoko, ferries, terminals, flyovers karibu vyote vilibaki kwenye makaratasi jamaa akavibadili kuwa ukweli na ilibidi wapigaji wengi wamchukie ili leo tujivunie, tutoke kwenye matusi tuliyokuwa tunastahili kutukanwa.

So tumuache apumzike kwn tumefaidi kodi za wananchi zilizotumika kumsomesha, ila kama bado kuna watu wanaendelea kumtukana hii battle itachafuka mm nawaambia mana wengine sisi akitukanwa Magufuli tunaona kama tumetukaniwa wazazi wetu, me nasema patanuka humu ndani na hii battle itaharibika kabisa.
Siyo Kenya tu kaka Hata Rwanda walikuwa wakitutukana sana kwamba li nchi likubwa lakini hatujiongezi rasilimali zetu zinaliwa na wajanja wachache, hatuna miradi yoyote ya kimkakati,of which it was true.

Lakini Magufuli alibatilisha matusi na kuwa mshangao kwa mambo mengi yaliyofanyika, sasa hivi wako kimya.

Tulikuwa tunafafanishwa na Congo. Tulibezwa sana , sasa inashangaza kuona wapumbavu wachache wanabeza mafanikio makubwa tuliyoyapata ndani ya muda mchache chini ya uongozi wa Magufuli.

Magufuli ameacha alama isiyofutika kamwe kwa Watanzania.
 
Ardhi ya Dodoma inajua kuridhika haraka.
UDOM.

IMG_6212.jpg
 
All major buildings Nairobi - owned by Chinese
SGR - 100% Owned by Chinese
Express way - 100% owned by Chinese
90% of business in Nairobi - Owned by Somalis
Ans as we speak All projects in Kunya are funded by Chinese,
Kilimo cha Maua na Chai - Muzungu
Real estate Nairobi - Politicians .
Ndiyo maana over 99% ya wakundustan ni maskini.
 
Yani mm mtu akimsema vby JPM ananichanganya sn ata kama ni rafiki yangu naanza kumkataa pole pole akizidi ujue namkataa kabisa, hii battle ni baina ya Tz na Kenya lkn kuna Watz wana kimbele mbele kujifanya wajuaji wa kila kitu, kwani Wakenya hawana viongozi wabovu? Mbona wameachana na hayo wanaendeleza battle, watu wanakuwa kama hawajaenda shule bhn, mwishowe nitaanza kuamini ni kweli Wakenya wanatuzidi akili maana hawatoki nje ya battle, wao na nchi yao tu kwenye hii battle licha ya dhiki kubwa waliyonayo na maovu mengi wanayotendewa na viongozi wao lkn wanajua sehemu ya kuyaongelea.
Inashangaza sana.wakenya hawaleti issue zao za ndani huku kwenye battle lakini watz tunajikuta tumegawanyika kwasababu ya chuki binafsi za kipumbavu.

Hawa ndio unakuta hata kwenye familia zao wakigombana tu mambo yao yote wanayamwaga nje wakidhani kwamba wanakomoana kumbe wanajiaibisha.
 
wakunya wana wivu na roho mbaya sana, leo naona twiter kuna mkunya mwanamziki uchwara anaichafua TANZANIA JNIA eti aliibiwa hapo vilaptop vyake? huku si kuuchafua uwanja wetu uonekane una wezi kama JKIA? wahusika wa airport wamnatakiwa wakanushe upuuzi huu mara moja! poor kenyans
Huo ndio ujasusi wao wa kiuchumi kuharibu biashara za Tanzania. Wamefeli kwenye maparachichi wamekuja na hili baadaye watakuja na lingine.
 
Haina haja ya kumtajataja mtu,Tatizo watanzania wengi hua wanaona barabara majengo mazuri ya serikali ni hisani ,
Yani bado tu hadi leo serikali ikijenga shule ama hospitali watu wanaona ni hisani wamefanyiwa...Hawajui serikali inatakiwa iwatumikie wananchi na kutatua changamoto zao kama wajibu wake...
Na ndio maana kila siku watu wanaimbaimba za kusifusifu sana mambo fulani as if ni wamepata upendeleo sana kufanyiwa hizo miradi.

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Zamani hata hizo hisani au wajibu wa serikali vitu vilikuwa havifanyiki na pesa zinapigwa kwahiyo ni lazima waone ajabu vitu vikifanyika.

Wewe mwenyewe ni shahidi fuatilia Ilani ya miaka ya nyuma uone bajeti iliyokuwa ikitengwa, ahadi na utekelezaji wake ni tofauti na kipindi cha Magufuli.

Kwahiyo wengi tuliona maajabu kwamba kumbe inawezekana. Yeye kaweza, wao walishindwa nini? Hapo ndipo wananchi wa kawaida tunapohoji.

Sasa inapotokea viongozi wetu wanatuambia Magufuli hakufanya kitu au alikosea, wasiseme mabaya tu waseme na mazur yake.
 
Amini kwamba bila jiwe kubadili makaratasi na kuwa vitendo mpaka leo hii kisingekuwepo chochote kile Nyerere dam, SGR,mahospitali,madaraja,stand za mabasi,mahakama,serikali kuhamia Dom,na mengine mengi ssh hana majaabu hadi sasa ssh nampongeza kwa kuendeleza miradi ya mtangulizi wake lakini kuna mapimbi humu huwa wanajitoa ufaham kuna watu huwa hajitambui humu JF
Inashangaza sana.wakenya hawaleti issue zao za ndani huku kwenye battle lakini watz tunajikuta tumegawanyika kwasababu ya chuki binafsi za kipumbavu.

Hawa ndio unakuta hata kwenye familia zao wakigombana tu mambo yao yote wanayamwaga nje wakidhani kwamba wanakomoana kumbe wanajiaibisha.
 
Zamani hata hizo hisani au wajibu wa serikali vitu vilikuwa havifanyiki na pesa zinapigwa kwahiyo ni lazima waone ajabu vitu vikifanyika.

Wewe mwenyewe ni shahidi fuatilia Ilani ya miaka ya nyuma uone bajeti iliyokuwa ikitengwa, ahadi na utekelezaji wake ni tofauti na kipindi cha Magufuli.

Kwahiyo wengi tuliona maajabu kwamba kumbe inawezekana. Yeye kaweza, wao walishindwa nini? Hapo ndipo wananchi wa kawaida tunapohoji.

Sasa inapotokea viongozi wetu wanatuambia Magufuli hakufanya kitu au alikosea, wasiseme mabaya tu waseme na mazur yake.
Hapa nimekuelewa hoja yako,Ukisema mabaya yake tu unakua sio uungwana kuna mazuri mengi tu ambayo alifanya pia.
Japo sisi wanadamu tuna changamoto sana katika jambo hilo...Mtu akishakuchukia hawezi kumbuka mema yako..sio kwamba hayapo laa ila ubaya unauzito sana kuliko wema.

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
All major buildings Nairobi - owned by Chinese
SGR - 100% Owned by Chinese
Express way - 100% owned by Chinese
90% of business in Nairobi - Owned by Somalis
Ans as we speak All projects in Kunya are funded by Chinese,
Kilimo cha Maua na Chai - Muzungu
Real estate Nairobi - Politicians .
 
Ubaya wa kuchangia mada usichoelewa. Je wajua kwamba kwa sasa Kenya inazalisha umeme nyingi kuwaliko? High electricity tariffs hailetwi na ukosefu wa umeme jinsi unavyokusudia kusema, bali ni tatizo la high fuel costs which increases their operation costs. To cover for those increment, they have to hike prices.

Ndio maana huyo jamaa kasema kwenye hiyo Tweet kwamba suluhisho ni Kenya Power ku improve its internal efficiency, not necessarily increasing power tariffs
Hiyo ni suggestion from an insignificant person wakati Kenya Power wao wameshafix akili yao kwe price hike maana hela za ku stem losses kwenye grid kwa ku improve efficiency ya infrastructure hakuna.
 
Anachuki mbaya sana kwa Magufuli. Anatuudhi sana. Yupo mpaka mitandao ya SkyscraperCity halafu anakuja kuleta chuki hapa.
Geza mwanangu kitambo na tulikua wate kule Skyscrapercity. Mi nimetoka kule mazima na yeye alitoka kitambo labda kama amerudi tena.

Chuki dhizi ya Magufuli ni chuki inaendeshwa na group linaloendesha taasisi. I will leave it at that.
 
Back
Top Bottom