ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Alaf chuo kina 13 yrs sasa jpm alikuwepo kwenye urais 13yrs ago 🤣🤣🤣Mzee hebu nakusihi uachane na kutukana marehemu. Mtu alishakufa bado unaendeleza vita. Huo siyo uungwana.
Alaf chuo kina 13 yrs sasa jpm alikuwepo kwenye urais 13yrs ago 🤣🤣🤣Mzee hebu nakusihi uachane na kutukana marehemu. Mtu alishakufa bado unaendeleza vita. Huo siyo uungwana.
Ujinga wake ni pale vitu vzr vya JPM hasemi anabaki kushangilia tu huku anabana puaAnachuki mbaya sana kwa Magufuli. Anatuudhi sana. Yupo mpaka mitandao ya SkyscraperCity halafu anakuja kuleta chuki hapa.
EACOP.Umewapiga kweli kweli, Dodoma inawaumiza sanaSince mji wa serikali umeanza kutoa taswira.. na kwa ukubwa wake . I'm looking forward to compete it with Abuja Nigeria.. oneni kwanza ninachosema hapaView attachment 2493312View attachment 2493313na. Nikisema mji wa serikali is of the same size to NAIROBI CBD+Eastligh+Park lands combined.. namaanisha hivi..
our gvt City 6 km² View attachment 2493314vs
7km² areaView attachment 2493316.. oya wewe mwathadan. Lete mkun*** wako hapo .. ujionee mana ulinitukana wewe.. note: All the area of gvt city is planned unlike hiyo takataka yenu..








Yaani unaambiwa chuo kina miaka (13) kumi na tatu bila mwanafunzi, meaning kilikua kimekamilika miaka (13) kumi na tatu iliyopita bila kuregister mwanafumzi hata mmoja.Alaf chuo kina 13 yrs sasa jpm alikuwepo kwenye urais 13yrs ago 🤣🤣🤣
Dom ni balaa kaka.. yani mji wa serikali pekee uko na eneo lenye ukubwa karibu sawa na Posta+Upanga+Kariakoo and mind you mji wote wa serikali ni smart City, green, organized, uko na wide roads modern infrastructure all around.. cyclist lanes, pedestrians walk ways mji mzima .. Yo ni kitu unatakiwa uogope mzee kwa standard za miji ya Africa ya masharikiUmewapiga kweli kweli, Dodoma inawaumiza sana![]()
Ndio maana nikasema hivi vimiji vya Afrika mashariki vina kazi kubwa kuja ku level na Dodoma hapo mbeleni, JPM alifanya kazi nzuri sana kubadili maandishi kuwa uhalisia.Dom ni balaa kaka.. yani mji wa serikali pekee uko na eneo lenye ukubwa karibu sawa na Posta+Upanga+Kariakoo and mind you mji wote wa serikali ni smart City, green, organized, uko na wide roads modern infrastructure all around.. cyclist lanes, pedestrians walk ways mji mzima .. Yo ni kitu unatakiwa uogope mzee kwa standard za miji ya Africa ya mashariki
Tena ni kwenye kipindi cha Magufuli WB imetoa mkopo wa kukijenga kiwe University kutoka CollegeMagufuli kaongoza miaka (5) mitano tu, na hapa tunaambiwa kuwa hiyo Butiama College miaka (13) kumi na tatu haina mwanafunzi.
Embu nidadavulie kuhusu hii miaka 13, Magufuli anahusikaje?
Mind you, huo ni mji wa serikali tu ndio tunazungumzia hapa .. wala hatujataja maeneo kunakojengwa taasisi za serikali, uwekezaji wa biashara n.k yani this place 👇Ndio maana nikasema hivi vimiji vya Afrika mashariki vina kazi kubwa kuja ku level na Dodoma hapo mbeleni, JPM alifanya kazi nzuri sana kubadili maandishi kuwa uhalisia.
Magufuli kafariki March/2021, WB preliminary loan release paperwork ya university inatoka may/2021Alikuta chuo kinajengwa akakataa kutoa fedha za uendeshaji! Ila akawa busy kujenga vyuo Chato!
Lakini ninavyokumbuka mimi WB walizuia fedha za elimu kwa Tanzania baada ya Magufuli kupinga pregnant girls wasirudi shuleni na pia kuhusi ile sheria ya statistics hivyo inawezekana miradi mingi ya elimu ilisimama kwa kukosa fedha lakini Mama alikuja kuokoa jahazi kwa kulegeza msimamo na hela ikatoka.Magufuli kafariki March/2021, WB preliminary loan release paperwork ya university inatoka may/2021
Hizo pesa Magufuli alizokataa kutoa ni zipi?
Acha chuki za kipumbavu, unamchukia Magufuli utafikiri alikuibia mke!
View attachment 2493404View attachment 2493405
Skia hip-hop ya new generation. Hii ni dis track yake Dizasta Vina kwenda kwa Rapcha.. skia stanza zilivyopangiliwa humo ndani.. complexity of this music kwa mkenya itambidi akae na kamusi ya kiswahili kuelewa nini kimeimbwa.. enjoy 👇.
We ni wa kupuuzwa tuSince mji wa serikali umeanza kutoa taswira.. na kwa ukubwa wake . I'm looking forward to compete it with Abuja Nigeria.. oneni kwanza ninachosema hapaView attachment 2493312View attachment 2493313na. Nikisema mji wa serikali is of the same size to NAIROBI CBD+Eastligh+Park lands combined.. namaanisha hivi..
our gvt City 6 km² View attachment 2493314vs
7km² areaView attachment 2493316.. oya wewe mwathadan. Lete mkun*** wako hapo .. ujionee mana ulinitukana wewe.. note: All the area of gvt city is planned unlike hiyo takataka yenu..
Haya mambo ya Magufuli hivi Magufuli vile tuachane nayo, ukweli utabaki palepale kwamba jamaa ametupa nguvu ya kutamba humu la sivyo Wakenya walikuwa wanatupiga asubuhi kweupeee, miaka nenda rudi walikuwa wanatutukana kwamba linchi kubwa na lina kila kitu lkn mazembe ya Tz yamekaa tuu, na huo ndio ulikuwa ukweli tukubali tukatatae.Lakini ninavyokumbuka mimi WB walizuia fedha za elimu kwa Tanzania baada ya Magufuli kupinga pregnant girls wasirudi shuleni na pia kuhusi ile sheria ya statistics hivyo inawezekana miradi mingi ya elimu ilisimama kwa kukosa fedha lakini Mama alikuja kuokoa jahazi kwa kulegeza msimamo na hela ikatoka.
This is my observation nothing personal and I stand to be corrected.
Nyumba za watu wa UK ahhahahahaaaa unachekesha dogo
Sawa hapo ni UK nenda kakojoe ulale sasaNyumba za watu wa UK ahhahahahaaaa unachekesha dogo
Inabidi soon ipigwe tower moja outstanding hapo CBD au Mitaa ya Victoria kama ya 60 flr au 250meter plus tower
In Kenya we already have itInabidi soon ipigwe tower moja outstanding hapo CBD au Mitaa ya Victoria kama ya 60 flr au 250meter plus tower
Anayejenga abase na residential , plus hotel ndo atapata watu sana , office space sio sana