Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,883
- 22,305
Hivi hata unafahamu kuwa wanaigeria ndio walikuja Tanzania kujifunza idea ya kujenga mji wa serikali Dodoma? Walikuja wakaibeba ramani yetu vile vile na kwenda kujenga kwao, wakati sisi tukibaki tunasua sua kujenga.It's not Fair to compare Abuja With Dodoma,Not fair at all...
Abuja is undoubtedly one of a well developed city in Nigeria,Smart And neat...
Dodoma is still Trying.