Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti vijumba vimeshonana??
View attachment 2491789
Bongolala, Kama hapo juu majumba zimeshonana, what will we call these places below? View attachment 2491776View attachment 2491777View attachment 2491778View attachment 2491780View attachment 2491782View attachment 2491783View attachment 2491784View attachment 2491785View attachment 2491786

Yani unalinganisha mtaa imepangika hivyo hadi kuna barabara ya lami na maeneo ya kuegesha magari na hizo takataka zenu zimebanana hata magari kupita ni taabu!
Uswahilini.com yani ni shida

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu, Mfano watu wa Vijijini ana shamba anapata chakula chake, ana Ng’ombe anakunywa maziwa fresh, ana kuku ana mayai ambayo hata maeneo mengine anaenda kubadilsha na kitu ambacho hana , ( niliona mtu kabadilisha ngo’mbe wake na pikipiki, watu kama hawa utapata wapi data zao za kwenda kununua vitu supermarket . Na utawaclassfy vipi hawa watu wanaishi chini ya Usd 1 wakati vitu anavyokula ni Organic we wa mjini huwezi hata afford robo yake Supermarket
Hii economic classification lazima iwe na model inayofaa makundi mbali mbali na inayotambua category mbali mbali za shughuli za watu za Kiuchumi.
Inatakiwa kila kitu kiwe kwenye utaratibu ndio tungeweza kujua wanatumia kiasi gani,unataka kuniambia hata wakiandaa questionnaire ni rahisi kujua kwa kuangalia mlo wa mtu kwa siku na Mali anazozimiliki...nyumba anayoishi nk
Ni kama walivyofanya kwenye sensa luna kipengele walikua wanauliza hii nyumba yako inaweza kua imetumia kiasi gani kujenga...hii inaweza leta picha ya hali ya uchumi wa mtu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kilimo na ufugaji ndio kitu pekee kinachoweza kumtoa masikini kwenye umaskini,tuwekeze zaidi humo..Sioni tukichomoka kwenye umaskini bila kukomaa na shamba,tukumbuke watz wengi hawako katika ajira Rasmi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mkuu. Mimi nimeshaingia kwenye kilimo rasmi,sasa hivi huwezi kuniambia kazi za kajiriwa, sasa hivi mjini nakuja kuosha macho and then narudi zangu shamba ili muda wa kuja kustaafu (60yrs)kwa mtu aliyeajiriwa niwe nimeshatengamaa kiuchumi.

Unamkuta mtu ameajiriwa lakini hawazi maisha ya kustaafu. Miaka 45 anasema bado anaponda maisha. Miaka 2 kabla ndipo anaanza kuwaza ataishije mwishowe anajifia kwa depression.

Tukilima kwa malengo kilimo kinalipa sana. Mtaji ni ardhi tu mengine yanakuja yenyewe.
 
Nimegundua wakenya wanaiogopa sana Dar es salaam kuliko kitu kingine. Hapa ni Makumbusho
FmSn3-dWAAwwHwm


Fm7-UCXXkAADcU_
Kama Dar inawatoa kamasi wasubiri Dodoma ndio watakufa kabisa na wivu.
 
Eti vijumba vimeshonana??
View attachment 2491789
Bongolala, Kama hapo juu majumba zimeshonana, what will we call these places below? View attachment 2491776View attachment 2491777View attachment 2491778View attachment 2491780View attachment 2491782View attachment 2491783View attachment 2491784View attachment 2491785View attachment 2491786

Yani unalinganisha mtaa imepangika hivyo hadi kuna barabara ya lami na maeneo ya kuegesha magari na hizo takataka zenu zimebanana hata magari kupita ni taabu!
Weka estate kwa estate mzee, vi estate vyenu vimebanana sn alafu jua kali type thus y estate za Dar zmeiacha mbali mno estate zenu na za EA kwa ujumla kama tutaangalia thamani yn value.
 
Back
Top Bottom