The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Msikilizeni huyu kajizima data anajifanya hawajui wafalme wa umaskini na nchi omba omba ya duniaThe fact kenya na mashida zetu zote hatuendi kuomba omba kwenye nchi za wenyewe kama nyinyi ni evidence enough.. utakuwaje umejitosheleza lakini unapitia shida nyingi kuenda kuomba omba?









