Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilisema "kuweni original" patented or not, acheni kuwa copy cats... So kesho mtabandika magical tanzania pia kwa sababu neno magical haina patent?
Umeona lakini hii? kabla wewe hujazaliwa tayari tushaanza kutumia issue hiyo. Wewe mshamba wajuzi utayajulia wapi haya?
1674452630451.png
 
Mkuu. Mimi nimeshaingia kwenye kilimo rasmi,sasa hivi huwezi kuniambia kazi za kajiriwa, sasa hivi mjini nakuja kuosha macho and then narudi zangu shamba ili muda wa kuja kustaafu (60yrs)kwa mtu aliyeajiriwa niwe nimeshatengamaa kiuchumi.

Unamkuta mtu ameajiriwa lakini hawazi maisha ya kustaafu. Miaka 45 anasema bado anaponda maisha. Miaka 2 kabla ndipo anaanza kuwaza ataishije mwishowe anajifia kwa depression.

Tukilima kwa malengo kilimo kinalipa sana. Mtaji ni ardhi tu mengine yanakuja yenyewe.
Hongera hii ni hatua kubwa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom