Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

List ya best football clubs (top 30) in Africa kwa mwaka 2022.. hakuna hata club moja kutoka kenya
View attachment 2490912
Na kwa muendelezo wa Yanga naiona ikiingia top 10 mwaka huu, so tutakuwa na watabe wawili top ten [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Somen line ya chini kbsa mwishon kwenye hii paper, hawa ndo wanajiita matajiri
20230122_085412.jpg
 
Sio kweli, hela tunazo pia, sio kama nyie utajiri wote unamilikiwa na wahindi na waarabu, humo juu hamna watanganyika weusi, alikua mmoja marehemu Mengi, ila kajifia zake, mnalia sana nyie.

Unga wa ugali ilikuwa ni agenda kuu ya campaigns za kisisasa,
Huko kunya Unga wa ugali ukipanda kwa 10ksh huwa ni nationwide crisis [emoji3][emoji3][emoji3]
Hela gani sasa mnazo
 
Haya madini mazito yanatakiwa yote yapite kwenye SGR yetu

Kilimo na ufugaji ndio kitu pekee kinachoweza kumtoa masikini kwenye umaskini,tuwekeze zaidi humo..Sioni tukichomoka kwenye umaskini bila kukomaa na shamba,tukumbuke watz wengi hawako katika ajira Rasmi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Somen line ya chini kbsa mwishon kwenye hii paper, hawa ndo wanajiita matajiri
View attachment 2490928

Na kuna watu wanakuja kujitapa hapa Budget yao ni Kubwa kuliko nchi zote za East Africa. wakidhani Hiyo amount ya budget ni hela ambayo tayari ipo kama kuna kapu limejaa hizo hela zinsubiria tu kutumiwa [emoji23]. kumbe wakijua budget ni kiasi ndio waanze kutembeza bakuli kufikia lengo, Ambapo mara nyingi wanakua na deficit vile vile . Umepanga kutumia Bilioni 15 umetembeza bakuli na kuminya wananchi vikodi unaishia kupata bilioni 6 . Nyingine zote unatembelea kichwa. Na mdomo mrefu kama SGR ya Tanzania , Kundustan is Rich. [emoji23]
 
Na kuna watu wanakuja kujitapa hapa Budget yao ni Kubwa kuliko nchi zote za East Africa. wakidhani Hiyo amount ya budget ni hela ambayo tayari ipo kama kuna kapu limejaa hizo hela zinsubiria tu kutumiwa [emoji23]. kumbe wakijua budget ni kiasi ndio waanze kutembeza bakuli kufikia lengo, Ambapo mara nyingi wanakua na deficit vile vile . Umepanga kutumia Bilioni 15 umetembeza bakuli na kuminya wananchi vikodi unaishia kupata bilioni 6 . Nyingine zote unatembelea kichwa. Na mdomo mrefu kama SGR ya Tanzania , Kundustan is Rich. [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani matajiri wanahitaji nguvu kubwa kujitangaza kuwa wao ni Tajiri au vitu vinaonekana kwa macho [emoji1787]. Ukitupigia kelele kwamba wewe ni tajiri halafu hujala na huna nauli ya kupanda lori lenye kunguni unapata faida gani[emoji23]
The fact kenya na mashida zetu zote hatuendi kuomba omba kwenye nchi za wenyewe kama nyinyi ni evidence enough.. utakuwaje umejitosheleza lakini unapitia shida nyingi kuenda kuomba omba?
 
Kwani matajiri wanahitaji nguvu kubwa kujitangaza kuwa wao ni Tajiri au vitu vinaonekana kwa macho [emoji1787]. Ukitupigia kelele kwamba wewe ni tajiri halafu hujala na huna nauli ya kupanda lori lenye kunguni unapata faida gani[emoji23]
Ethiopia, Tanzania, Congo, Burundi na Zimbabwe ndo nchi ambazo wananchi wao ni hohehahe hadi kuenda kuomba omba
 
Kwani matajiri wanahitaji nguvu kubwa kujitangaza kuwa wao ni Tajiri au vitu vinaonekana kwa macho [emoji1787]. Ukitupigia kelele kwamba wewe ni tajiri halafu hujala na huna nauli ya kupanda lori lenye kunguni unapata faida gani[emoji23]
Tusemeje kuhusu nyie wabongo mnaoshinda humu mkisema jinsi Tanzania ni nchi tajiri kwa eneo?
 
Etieeeeee [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2490896View attachment 2490897
Na hii ndio inawafanya Watanzania wengi kutulia nyumbani wasikimbiekimbie huko kwingine kutafuta ugali. Kuna nchi kama Malawi, Kenya, Ethiopia tunaona raia wao wamejaa Bongo wanatafuta hadi kazi za ndani za kulipwa elfu 60, yaani huwa najiuliza hivi hawa huko kwao hata hizi kazi za ndani ni shida kupata mpaka wanakimbilia kwetu? Lakini ndio hivyo, sisi tuna utu na tunawapokea sababu tunaamini Waafrika wote ni ndugu zetu lakini pia cha kuwapa tunacho.
 
Na kuna watu wanakuja kujitapa hapa Budget yao ni Kubwa kuliko nchi zote za East Africa. wakidhani Hiyo amount ya budget ni hela ambayo tayari ipo kama kuna kapu limejaa hizo hela zinsubiria tu kutumiwa [emoji23]. kumbe wakijua budget ni kiasi ndio waanze kutembeza bakuli kufikia lengo, Ambapo mara nyingi wanakua na deficit vile vile . Umepanga kutumia Bilioni 15 umetembeza bakuli na kuminya wananchi vikodi unaishia kupata bilioni 6 . Nyingine zote unatembelea kichwa. Na mdomo mrefu kama SGR ya Tanzania , Kundustan is Rich. [emoji23]
Bajeti ya Kenya ni kama bajeti ya harusi za Kibongo, unakuta wanakamati wanaweka bajeti ya harusi ya 30M alafu mwisho wa siku wanakusanya 9M alafu wanaanza kusmash luxuries, utasikia jamani hapa cha msingi bora kijana wetu aoe……😂😂
 
The fact that 2022 Unga wa ugali ni agenda muhimu ya uchaguzi, hii inadhihirisha ufukara wa hali ya juu hapo Kunya.

Unga ni chakula, na kwa kainchi kadogo ambako zaidi ya nusu yake ni kame tupu na kanakumbwa na kiangazi hata kwenye maeneo machache yenye rotuba, unga lazima uwe mojawapo wa agenda. Jiongeze kidogo ushirikishe ubongo utaelewa.
Hata hivyo licha ya changamoto zote hizi, bado tunawazidi kiuchumi mara mbili.
 
Back
Top Bottom