Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

CHAPARARAA

View attachment 2491673

Wakulungwa Vitu basics bado shida sana

Check Jamaa alivyookoa Bondo hapa.

View attachment 2491674
Unategemea nini kwenye nchi ambayo unga ni anasa 😂😂😂

FYAUY_jWYAYo5WK.jpeg
 
It is one street that they keep recycling and pretending like they're shocked when there are several streets like this in Dar. Hypocrites.

IMG_3766-511x341.jpg
Usingeleta hii picture ya miaka 40 iliopita ningekushangaa sana, huoni kama hapo ni village kabisa then ndio unatumia kujiconsole na uchafu wenu wa CBD 😂😂😂
 
Unategemea nini kwenye nchi ambayo unga ni anasa

View attachment 2491767

Ila hawa watu walitakiwa at least wawe Modest.

Like, Some parts of Kenya are very developed na sio Kenya is Developed , Some parts of Nairobi are shining etc
Au some people in Kenya are super Rich, Which is normal , kila nchi ina matajiri na masikinj.
Imagine mtu anafurahia na anajigamba na GDP per capita na anajua kabisa hana hiyo hela yeye mwenyewe. Mfano mimi na Mo tuwekwe kundi moja hela zake tujumlishwe kwa idadi yetu halfu itoke avarage nifurahi na mimi hiyo hela ni yangu.
 
Ila hawa watu walitakiwa at least wawe Modest.

Like, Some parts of Kenya are very developed na sio Kenya is Developed , Some parts of Nairobi are shining etc
Au some people in Kenya are super Rich, Which is normal , kila nchi ina matajiri na masikinj.
Imagine mtu anafurahia na anajigamba na GDP per capita na anajua kabisa hana hiyo hela yeye mwenyewe. Mfano mimi na Mo tuwekwe kundi moja hela zake tujumlishwe kwa idadi yetu halfu itoke avarage nifurahi na mimi hiyo hela ni yangu.
Eeeh wawe tu specific kua Kenya maeneo A,b,c ni makali na hatutawabishia, pia wasisahau kutaja vimeo vyao...
Na tunafahamu kuna watu wanalala kwemye mabanda ya mabati hawana hata vyoo...sijui nao kama wako middle income ama wako chini ldc

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ila hawa watu walitakiwa at least wawe Modest.

Like, Some parts of Kenya are very developed na sio Kenya is Developed , Some parts of Nairobi are shining etc
Au some people in Kenya are super Rich, Which is normal , kila nchi ina matajiri na masikinj.
Imagine mtu anafurahia na anajigamba na GDP per capita na anajua kabisa hana hiyo hela yeye mwenyewe. Mfano mimi na Mo tuwekwe kundi moja hela zake tujumlishwe kwa idadi yetu halfu itoke avarage nifurahi na mimi hiyo hela ni yangu.
Nichojifunza kwa wakenya ni ukosefu mkubwa wa elimu na majisifu ya kipumbavu yaani wanateketea kama mshumaa, ndio maana wanasiasa wao wanawadanganya kiurahisi mno

Fikiria mtu anaona kabisa wananchi wenzake wanakufa njaa, ajira hakuna, bei za bidhaa zimepanda, maisha hayaeleweki lakini anafurahia number za kwenye makaratasi 😂😂😂

Mtanzania mwenye nyumba na gari na investment yake ni rahisi sana kudoubt statistics zinazopaisha uchumi wa Tanzania kuliko mkenya alielala njaa jana na anaishi mathare kudoubt statistics zinazopaisha hali ya maisha ya mkenya wa kawaida 😂😂😂

Hawa viumbe sijui wameumbwaje 🤣
 
Mtanzania mwenye nyumba na gari na investment yake ni rahisi sana kudoubt statistics zinazopaisha uchumi wa Tanzania kuliko mkenya alielala njaa jana na anaishi mathare kudoubt statistics zinazopaisha hali ya maisha ya mkenya wa kawaida 😂😂😂

Hawa viumbe sijui wameumbwaje 🤣
 
Vijumba vimeshonana kama nzi eti estate, this is why Dar has more expensive real estate than that of all estate in EA combined.View attachment 2491618View attachment 2491619View attachment 2491620View attachment 2491621View attachment 2491622
Eti vijumba vimeshonana?? 😂😂😂
tapatalk_-1359061174_712x449.jpg

Bongolala, Kama hapo juu majumba zimeshonana, what will we call these places below?
images - 2023-01-05T142613.865.jpeg
images - 2022-06-26T132741.249.jpeg
images - 2023-01-05T142550.864.jpeg
Screenshot_20220527-004137~2.png
Screenshot_20220527-004123~2.png
Screenshot_20220527-003427~2.png
Screenshot_20220625-195527~2.png
Screenshot_20220527-004307~2.png
Screenshot_20220527-004414~2.png


Yani unalinganisha mtaa imepangika hivyo hadi kuna barabara ya lami na maeneo ya kuegesha magari na hizo takataka zenu zimebanana hata magari kupita ni taabu!
 
Nichojifunza kwa wakenya ni ukosefu mkubwa wa elimu na majisifu ya kipumbavu yaani wanateketea kama mshumaa, ndio maana wanasiasa wao wanawadanganya kiurahisi mno

Fikiria mtu anaona kabisa wananchi wenzake wanakufa njaa, ajira hakuna, bei za bidhaa zimepanda, maisha hayaeleweki lakini anafurahia number za kwenye makaratasi

Mtanzania mwenye nyumba na gari na investment yake ni rahisi sana kudoubt statistics zinazopaisha uchumi wa Tanzania kuliko mkenya alielala njaa jana na anaishi mathare kudoubt statistics zinazopaisha hali ya maisha ya mkenya wa kawaida

Hawa viumbe sijui wameumbwaje

Kweli mkuu, Mfano watu wa Vijijini ana shamba anapata chakula chake, ana Ng’ombe anakunywa maziwa fresh, ana kuku ana mayai ambayo hata maeneo mengine anaenda kubadilsha na kitu ambacho hana , ( niliona mtu kabadilisha ngo’mbe wake na pikipiki, watu kama hawa utapata wapi data zao za kwenda kununua vitu supermarket . Na utawaclassfy vipi hawa watu wanaishi chini ya Usd 1 wakati vitu anavyokula ni Organic we wa mjini huwezi hata afford robo yake Supermarket
Hii economic classification lazima iwe na model inayofaa makundi mbali mbali na inayotambua category mbali mbali za shughuli za watu za Kiuchumi.
 
Na ardhi ya chai, Kahawa, shayiri na maua sio yao


Yan badala ya wawekezaji waje kuwekeza kwenye vitu vya maana kama mchele, vitunguu au mahindi ambavyo vitawasaidia pia wakunya, wanakuja kuwekeza maua, chai na kahawa ambavyo haviwasaidii wakunya, vinawasaidia wazungu.. afu kwann hayo maua sijui chai hao wazungu wasipande huko kwao uzunguni? Jibu jepesi ni ardhi zao huko uzungun wanalima vitu vya maana vya kuwasaidia kula sio maua 😎
kwa hili wakunya fikirien mara mbili..nchi yenu inafanywa shamba la bibi na wazungu
 
Yan badala ya wawekezaji waje kuwekeza kwenye vitu vya maana kama mchele, vitunguu au mahindi ambavyo vitawasaidia pia wakunya, wanakuja kuwekeza maua, chai na kahawa ambavyo haviwasaidii wakunya, vinawasaidia wazungu.. afu kwann hayo maua sijui chai hao wazungu wasipande huko kwao uzunguni? Jibu jepesi ni ardhi zao huko uzungun wanalima vitu vya maana vya kuwasaidia kula sio maua 😎
kwa hili wakunya fikirien mara mbili..nchi yenu inafanywa shamba la bibi na wazungu
Mzungu yuko tayar apande maua kwenye ardhi yenye rotuba kwa faida yao kwenda kuuza maua kwao lakini maisha ha mkenya kufa njaa hilo haliwahusu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom