The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Jamaa wako hovyo mnoo. Bora Somalia kuliko Kenya.
Jamaa wako hovyo mnoo. Bora Somalia kuliko Kenya.
Na ardhi ya chai, Kahawa, shayiri na maua sio yaoSasa kama ni jangwa mbona wanajitapa kuongoza kwenye uzalichaji wa mazao ya biashara kama: Parachichi, Chai, Kahawa, maua, Mirungi?
Hayo mazao wanalimia wapi?
Facts ni kuwa, Kenye ni nchi ya hovyo na ardhi ya rutuba wanalimia mazao.
Unategemea nini kwenye nchi ambayo unga ni anasa 😂😂😂CHAPARARAA
View attachment 2491673
Wakulungwa Vitu basics bado shida sana
Check Jamaa alivyookoa Bondo hapa.
View attachment 2491674
Eti one streetView attachment 2491732View attachment 2491733View attachment 2491734View attachment 2491735View attachment 2491736View attachment 2491738View attachment 2491739View attachment 2491740View attachment 2491741View attachment 2491742View attachment 2491743View attachment 2491744View attachment 2491745View attachment 2491746View attachment 2491747View attachment 2491748View attachment 2491749View attachment 2491751

Usingeleta hii picture ya miaka 40 iliopita ningekushangaa sana, huoni kama hapo ni village kabisa then ndio unatumia kujiconsole na uchafu wenu wa CBD 😂😂😂It is one street that they keep recycling and pretending like they're shocked when there are several streets like this in Dar. Hypocrites.
![]()
, Some parts of Nairobi are shining etc
na anajua kabisa hana hiyo hela yeye mwenyewe. Mfano mimi na Mo tuwekwe kundi moja hela zake tujumlishwe kwa idadi yetu halfu itoke avarage nifurahi na mimi hiyo hela ni yangu



.Eeeh wawe tu specific kua Kenya maeneo A,b,c ni makali na hatutawabishia, pia wasisahau kutaja vimeo vyao...Ila hawa watu walitakiwa at least wawe Modest.
Like, Some parts of Kenya are very developed na sio Kenya is Developed, Some parts of Nairobi are shining etc
Au some people in Kenya are super Rich, Which is normal , kila nchi ina matajiri na masikinj.
Imagine mtu anafurahia na anajigamba na GDP per capitana anajua kabisa hana hiyo hela yeye mwenyewe. Mfano mimi na Mo tuwekwe kundi moja hela zake tujumlishwe kwa idadi yetu halfu itoke avarage nifurahi na mimi hiyo hela ni yangu
.
Nichojifunza kwa wakenya ni ukosefu mkubwa wa elimu na majisifu ya kipumbavu yaani wanateketea kama mshumaa, ndio maana wanasiasa wao wanawadanganya kiurahisi mnoIla hawa watu walitakiwa at least wawe Modest.
Like, Some parts of Kenya are very developed na sio Kenya is Developed, Some parts of Nairobi are shining etc
Au some people in Kenya are super Rich, Which is normal , kila nchi ina matajiri na masikinj.
Imagine mtu anafurahia na anajigamba na GDP per capitana anajua kabisa hana hiyo hela yeye mwenyewe. Mfano mimi na Mo tuwekwe kundi moja hela zake tujumlishwe kwa idadi yetu halfu itoke avarage nifurahi na mimi hiyo hela ni yangu
.
Kwa huu unga alionao huyu jamaa anaweza akawabak.a wanairobi wengi sana wengine tupo nao humu





Eti vijumba vimeshonana?? 😂😂😂Vijumba vimeshonana kama nzi eti estate, this is why Dar has more expensive real estate than that of all estate in EA combined.View attachment 2491618View attachment 2491619View attachment 2491620View attachment 2491621View attachment 2491622
As I said, huna jibu wala jipya. Ulichobakisha ni kutapatapa tuMajibu yote hayo ninayokupa huelewi tu mdogo wangu!!! Au umeanza kuwa mbumbumbu?
Basi hata hili la chekechea nalo hutaweza?
![]()
Nichojifunza kwa wakenya ni ukosefu mkubwa wa elimu na majisifu ya kipumbavu yaani wanateketea kama mshumaa, ndio maana wanasiasa wao wanawadanganya kiurahisi mno
Fikiria mtu anaona kabisa wananchi wenzake wanakufa njaa, ajira hakuna, bei za bidhaa zimepanda, maisha hayaeleweki lakini anafurahia number za kwenye makaratasi
Mtanzania mwenye nyumba na gari na investment yake ni rahisi sana kudoubt statistics zinazopaisha uchumi wa Tanzania kuliko mkenya alielala njaa jana na anaishi mathare kudoubt statistics zinazopaisha hali ya maisha ya mkenya wa kawaida
Hawa viumbe sijui wameumbwaje![]()




Kweli mkuu, Mfano watu wa Vijijini ana shamba anapata chakula chake, ana Ng’ombe anakunywa maziwa fresh, ana kuku ana mayai ambayo hata maeneo mengine anaenda kubadilsha na kitu ambacho hana
, ( niliona mtu kabadilisha ngo’mbe wake na pikipiki, watu kama hawa utapata wapi data zao za kwenda kununua vitu supermarket . Na utawaclassfy vipi hawa watu wanaishi chini ya Usd 1 wakati vitu anavyokula ni Organic we wa mjini huwezi hata afford robo yake Supermarket 
MADE IN TANZANIAAs I said, huna jibu wala jipya. Ulichobakisha ni kutapatapa tu
Na ardhi ya chai, Kahawa, shayiri na maua sio yao
Mzungu yuko tayar apande maua kwenye ardhi yenye rotuba kwa faida yao kwenda kuuza maua kwao lakini maisha ha mkenya kufa njaa hilo haliwahusu🤣🤣🤣Yan badala ya wawekezaji waje kuwekeza kwenye vitu vya maana kama mchele, vitunguu au mahindi ambavyo vitawasaidia pia wakunya, wanakuja kuwekeza maua, chai na kahawa ambavyo haviwasaidii wakunya, vinawasaidia wazungu.. afu kwann hayo maua sijui chai hao wazungu wasipande huko kwao uzunguni? Jibu jepesi ni ardhi zao huko uzungun wanalima vitu vya maana vya kuwasaidia kula sio maua 😎
kwa hili wakunya fikirien mara mbili..nchi yenu inafanywa shamba la bibi na wazungu