MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,511
- 53,474
Karibu tena maake ulisema maisha yatakuwa magumu baada ya Ruto kuingia madarakini
Uzuri Wakenya ni wachapa kazi, hawategemei urais au mtu, hizo ndio tabia za kijamaa ambazo zimesababisha muwe wazembe na maskini.
with 


