Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Karibu tena maake ulisema maisha yatakuwa magumu baada ya Ruto kuingia madarakini

Uzuri Wakenya ni wachapa kazi, hawategemei urais au mtu, hizo ndio tabia za kijamaa ambazo zimesababisha muwe wazembe na maskini.
 
Wewe umesema mnalima maua na chai mnauza bei mbaya halafu mnanunua chakula lakini Riggy G anasema yeye kama Deputy President mandate yake imekuwa reduced to a food beggar from mabeberu na kutoka kwa former colonial powers.

Yeah ni kweli hela tunapata nyingi sana kwenye kuuza mazao hayo, na tunazitumia kununua vyakula ambavyo imekua ngumu kukuza humu kisa kiangazi, hii nchi ingepewa wazembe kama nyie mngeisha wote.
 
Chris Hemsworth
Screenshot_20230122-010856_Facebook.jpg
 
Uzuri Wakenya ni wachapa kazi, hawategemei urais au mtu, hizo ndio tabia za kijamaa ambazo zimesababisha muwe wazembe na maskini.
Mnachapaje kazi na njaa?

Mmekuwa capitalist state tangu 1960s mkiwa na access ya mikopo mikubwa toka banks za west, hakuna lolote la maana mlilofanya. Mlitakiwa kwa sasa muwe mshajenga SGR kukonect na UG, RW, BND, DRC, ETH, SSD. Pia militakiwa muwe na International airport zaidi ya 4 active by now na Mombasa port ilitakiwa iwe na ukubwa wa at least Durban port.

Mlitakiwa mmeshaushika huu ukanda kila angle kwa mbali sana. Leo hii mnahangaika na mahindi 😂 😂 😂 😂 😂

Nyie ndio wazembe na wapumbavu wakubwa.


 
Mnachapaje kazi na njaa?

Mmekuwa capitalist state tangu 1960s mkiwa na access ya mikopo mikubwa toka banks za west, hakuna lolote la maana mlilofanya. Mlitakiwa kwa sasa muwe mshajenga SGR kukonect na UG, RW, BND, DRC, ETH, SSD. Pia militakiwa muwe na International airport zaidi ya 4 active by now na Mombasa port ilitakiwa iwe na ukubwa wa at least Durban port.

Mlitakiwa mmeshaushika huu ukanda kila angle kwa mbali sana. Leo hii mnahangaika na mahindi 😂 😂 😂 😂 😂

Nyie ndio wazembe na wapumbavu wakubwa.




Hiyo kuwa capitalist na uchapa kazi wetu ndio umetuwezesha kuwazidi mara mbili kiuchumi licha ya zaidi ya nusu ya nchi yetu kuwa kame tupu na kiangazi kila mahali, huku nyie mkiwa na nchi kubwa yenye rotuba nzuri kila mahali, madini ya kumwaga na vivutio bora...laana yenu ujamaa uliwalemaza na kuwafanya wazembe wa kutupwa.
 
Hiyo kuwa capitalist na uchapa kazi wetu ndio umetuwezesha kuwazidi mara mbili kiuchumi licha ya zaidi ya nusu ya nchi yetu kuwa kame tupu na kiangazi kila mahali, huku nyie mkiwa na nchi kubwa yenye rotuba nzuri kila mahali, madini ya kumwaga na vivutio bora...laana yenu ujamaa uliwalemaza na kuwafanya wazembe wa kutupwa.

GDP ni maandiko tu ya makaratasi. Uchumi wa kweli ni maisha halisi ya watu.
 
Uchumi wa kenya unasoma mkubwa ila hela zote znamilikiwa na 4 families.....na majority ndio wamekua maskin wa kutupwa

Sio kweli, hela tunazo pia, sio kama nyie utajiri wote unamilikiwa na wahindi na waarabu, humo juu hamna watanganyika weusi, alikua mmoja marehemu Mengi, ila kajifia zake, mnalia sana nyie.
 
Mnachapaje kazi na njaa?

Mmekuwa capitalist state tangu 1960s mkiwa na access ya mikopo mikubwa toka banks za west, hakuna lolote la maana mlilofanya. Mlitakiwa kwa sasa muwe mshajenga SGR kukonect na UG, RW, BND, DRC, ETH, SSD. Pia militakiwa muwe na International airport zaidi ya 4 active by now na Mombasa port ilitakiwa iwe na ukubwa wa at least Durban port.

Mlitakiwa mmeshaushika huu ukanda kila angle kwa mbali sana. Leo hii mnahangaika na mahindi

Nyie ndio wazembe na wapumbavu wakubwa.




Toka 1960 mkuu Capitalist state halijatusua linatembelea kichwa na Rhythm ya maisha ( kelele za kila siku kwa Mwananchi) ni UNGA wa Ugali
 
Wanasema sisi ni wavivu,okay mvivu anauza mahindi owa nchi zote izo?Jamaa hawana adabu hawa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sio kuuza mahindi nchi zote hizo tu bali kuuza mahindi nchi zote hizo kipindi cha ukame wa kutisha bila muuzaji mwenyewe kuadhirika! Kunyaland wanasema wao ni jangwa hawawezi kupata chakula lakini Tanzania imeweza kuuza chakula kingi wakati wa ukame uliokumba ukanda wote!
 
Hiyo kuwa capitalist na uchapa kazi wetu ndio umetuwezesha kuwazidi mara mbili kiuchumi licha ya zaidi ya nusu ya nchi yetu kuwa kame tupu na kiangazi kila mahali, huku nyie mkiwa na nchi kubwa yenye rotuba nzuri kila mahali, madini ya kumwaga na vivutio bora...laana yenu ujamaa uliwalemaza na kuwafanya wazembe wa kutupwa.
Paper based fabrication the rest is null and void.
 
Back
Top Bottom