Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakuu tuweni serious hivi mtu akiitwa juu mawinguni tunajuaje, mwamba alikua active mno lakini over sudden tu hayupo hata kucheckin mara moja moja, hii imekaaje sababu alikua active mno
'Akiitwa juu mawinguni' ndo inakuaje?
Si mtu akifa anabaki kaburini kwanza.. suala la kwenda mbinguni au jehanam, kwenye ukristo, ni mpk Yesu arudi au siku ya unyakuo ndo mchambuo wa kwenda jehanam na mbingun unaanza? Au ndo hata mambo ya dini nayo siielew
 
'Akiitwa juu mawinguni' ndo inakuaje?
Si mtu akifa anabaki kaburini kwanza.. suala la kwenda mbinguni au jehanam, kwenye ukristo, ni mpk Yesu arudi au siku ya unyakuo ndo mchambuo wa kwenda jehanam na mbingun unaanza? Au ndo hata mambo ya dini nayo siielew
Imebidi nigoogle bible nipate kaelimu ya dini 😎
Screenshot_20230121-194007_Chrome.jpg
Screenshot_20230121-194143_Chrome.jpg
 
Unaambiwa mabus mazuri 'wanatutengenezea sisi' lkn mabus mabaya kama haya na hilo kwenye tweet ndo yanabaki kenya kufanya kazi
Yan ni sawa na fundi anakutengezea sofa zuri au nyumba nzuri lkn kwake hana sofa wala hana nyumba ya maana
View attachment 2490393

Hili sio Bus, ni gari la mizigo likiongezewa mzigo mwingine wa vifaa vya ujenzi likabebe mafuvu in Ichoboy voice .
 
Huyu akichukia kiti atawasumbua sana wakenya ekeni haya maneno kama akiba
 
Back
Top Bottom