Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongo-Dar es salaam
1000_F_527416513_zcDKUUijGPu0rTQbLV0AGtOUw4fNvLNN.jpg
IMG_7281-768x576.jpg
20230112_221258.jpg
20220603_190442.jpg
20230115_151443.jpg
0L7C1188.jpg
JamiiForums-996678241.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu tuweni serious hivi mtu akiitwa juu mawinguni tunajuaje, mwamba alikua active mno lakini over sudden tu hayupo hata kucheckin mara moja moja, hii imekaaje sababu alikua active mno
Dah sasa kwa hii msg umefanya nikose raha kabisa mana me nkawa najua ni wewe mkuu.
 
Unaambiwa mabus mazuri 'wanatutengenezea sisi' lkn mabus mabaya kama haya na hilo kwenye tweet ndo yanabaki kenya kufanya kazi 😀
Yan ni sawa na fundi anakutengezea sofa zuri au nyumba nzuri lkn kwake hana sofa wala hana nyumba ya maana
View attachment 2490393

Msaada kwenye tuta.

Hivi hapo wanatengeneza nini, gari ama a moving kiosk?
 
Iyo Mall ni kubwa na inavutia sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
First time kwenda huko 2017 nlipotea ndani sipati exit.. ilibidi niulize security njia ya kutoka nje, parking kutafuta gari lako especially weekend ni kibarua, litasumbua kutrace especially likifanana na magari mengi type yake pale
 
Back
Top Bottom