Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siku mkitukaribia kiuchumi unitag, ila kwa sasa na hata miaka hamsini ijayo pole yenu.
Utajiri unaonekana ground sio kwenye karatasi, tajiri na huwezi hata kufinance road ya 5km kwa pesa za ndani, tajiri huwezi hata ku electrify reli uliyojengewa kwa mkopo na hujatoa hata 100, tajiri na huwezi kujenga hata sm 1 ya BRT, tajiri na huwezi hata kulipa mishahara wafanyakazi wa umma, tajiri na hujitoshelezi kwa chakula, tajiri alafu una CBD chafu imejaa matakataka, tajiri na umejaza ma slums every corner of the country, tajiri gn wewe labda tajiri wa Mavi

Nb. Hayo yote niliyoyataja kwenu hakuna na hamtakaa mje kuwa nayo kwa miaka 100 ijayo, wewe piga kelele ya GDP ya karatasi a.k.a fake GDP, cc tunazidi kuwaachia vumbi na the real GDP ya $150b.
 
Imebidi tutumie akili kwa kutumia ardhi kidogo iliyopo kulima mazao yenye hela nyingi, ili tutumie hiyo hela kununua mahindi kwenu na kufanya mengine mengi, ndio maana nikasema unaweza ukawa na ardhi ekari moja ukamzidi kipato mwenye ekari mia.
Mnatumia pesa ipi wakati mnaomba chakula Ukraine?
Screenshot_20230108-173958.png
 
Wamefanana miandiko halafu nadhani wote ni Dom.
Ila ngoja [mention]chongchung [/mention] athibitishe mwenyewe.
Wakuu tuweni serious hivi mtu akiitwa juu mawinguni tunajuaje, mwamba alikua active mno lakini over sudden tu hayupo hata kucheckin mara moja moja, hii imekaaje sababu alikua active mno
 
Back
Top Bottom