Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati wa Corana kuna taarifa zilisambaa walikua wanafua Mask zilizotupwa sijui kama ni kweli
Hata usishangae hilo kaka.Kama walikuwa na uhaba wa condom wakawa wanaazimana zilizokwisha tumika huku wengine wakifua na kuzianika itakuwa masks ?? Hiyo kwao ni fursa na upana wa elimu yao. Hawa jamaa wamesoma sana hadi wanaona fursa kwenye kubadilisha matumizi ya condom na used masks
 
Akili ndio tumepewa ila mkanyimwa nyie, ardhi hata ekari moja ukiwa na akili unaweza ukaitumia na kupiga hela kumzidi mwenye ekari 100.
Ekari moja utapata nini kwa parachichi au ndio kuridhika na vihela vidogovidogo? But all in all it depends on what economic base you come from; eka moja can just guarantee you a hand to mouth/ subsistence living.
 
So renovations were supposed to take place nje ya terminal pekee yake? What kind of reasoning is this?
Who said nje ya terminal peke yake? Dont put words into my mouth. If you have renovated your terminal share pics za inside and outside the terminal tuone hapa. Picha za ndani tumeshaziona sasa tunasubiri na picha za nje ya terminal maneno mengi na hasira peleka pipeline huko.
 
Hata usishangae hilo kaka.Kama walikuwa na uhaba wa condom wakawa wanaazimana zilizokwisha tumika huku wengine wakifua na kuzianika itakuwa masks ?? Hiyo kwao ni fursa na upana wa elimu yao. Hawa jamaa wamesoma sana hadi wanaona fursa kwenye kubadilisha matumizi ya condom na used masks
🤣 🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa vitu nilivyoona wiki hii, sikutegemea kabisa.
 
Wewe mtanzania uniambie Kizungu kinanitia kizungumkuti?
Mungu wangu!!!

Kila data si huwa mnapinga hapa kila siku. Haitakuwa mara yako/yenu ya kwanza wala ya mwisho. Kama hukubaliani nayo ama inakuuma sana, peleka malalamishi kwa waliotoa taarifa. In the meantime, number mtazidi kusoma
Labda useme kijaluo lkn co kingereza, hujui kitu. Kizungu Kizungumkuti kweli kweli, lugha ya watu hii
 
Mwingine huyu huku

Hawa watu sijui walikua wamemezeshwa sumu ya aina gani kuhusu Tanzania toka utoto kiukweli, yaani wanashangaa mambo ya kawaida sana tunavyoyachukulia huku

View attachment 2488497
Hawa waliaminishwa kuwa capitalism is good socialism is bad hayo ndiyo matango pori waliyomezeshwa na wakoloni wao lakini wakasahau kuwa akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.
 
Hiyo aircraft walio donate ni ile ilioisha muda wa matumizi hata spare parts zake kwa manufacturer hazipo na imekua obligated kuwa grounded for safety concerns halafu mlivyo wehu ndio mnaenda kufundishia wanafunzi, wanafunzi wa 21st century wanaenda kujifunza taaluma ya aviation kwenye 19th century syllabus 🤣
Kumbuka wanadaiwa all their planes!
 
Ekari moja utapata nini kwa parachichi au ndio kuridhika na vihela vidogovidogo? But all in all it depends on what economic base you come from; eka moja can just guarantee you a hand to mouth/ subsistence living.

Umeona umedhihirisha nilichokua namaanisha, kunyimwa akili hukujiongeza kuelewa nilichokuambia hapo....
 
Labda useme kijaluo lkn co kingereza, hujui kitu. Kizungu Kizungumkuti kweli kweli, lugha ya watu hii
Najua kitu, na hiyo kitu Najua ni kwamba number mtazidi kusoma. No amount of noise will change this
 
Westlands as seen from Two Rivers Mall. The greenery is amazing!
download - 2023-01-20T123258.795.jpeg
 
Sasa hivi hakuna kingine nakiwaza zaidi ya maparachichi, imekua dili hapa Kenya, nataka nikipata nafasi nishughulke balaa......Sisi Wakenya huwa tunachangamkia fursa, kainchi kadogo tena zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini kamewazidi mara mbili kiuchumi na kila kitu......tatizo lenu laana ya kuua albino ndio imewaponza kwamba hamtoki kwenye umaskini licha ya kuwa na kila kitu.

We mzee hiyo kame tupu unaitoaga wapi wakati ukipaa kwenye anga la kenya unaona mapori kibao hayajaguswa, na Huku mnakufa kwa njaa na kusingizia ukame
Nyinyi ni wavivu.
 
We mzee hiyo kame tupu unaitoaga wapi wakati ukipaa kwenye anga la kenya unaona mapori kibao hayajaguswa, na Huku mnakufa kwa njaa na kusingizia ukame
Nyinyi ni wavivu.

Ukipaa kwenye anga gani, wewe hata hiyo JNIA umewahi kuingia kwenye geti, unvyopenda kujikweza, zaidi ya nusu ya Kenya ni kame tupu ila inawazidi kwenye kila kitu hamtajwi kwenye vitu kama hivi, vinahitaji ubongo

fig_all-country-score-2-01-1024x473.jpg


Ona Kenya ilivyo na bado inawazidi, muwe mnapata aibu
29-Figure3.1-1.png
 
Back
Top Bottom