Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Two Rivers Mall, the Largest mall in East and Central Africa
Sasa mbona Riggy G anaongea tofauti na yeye yuko jikoni kabisa?Imebidi tutumie akili kwa kutumia ardhi kidogo iliyopo kulima mazao yenye hela nyingi, ili tutumie hiyo hela kununua mahindi kwenu na kufanya mengine mengi, ndio maana nikasema unaweza ukawa na ardhi ekari moja ukamzidi kipato mwenye ekari mia.
Mdogo wangu nakuheshimu. Huwezi ukaanza kuongea unjinga namna hii nakuangalia. Hivi eneo mnalolima maua mgelima mahindi njaa ingetokea wapi?Imebidi tutumie akili kwa kutumia ardhi kidogo iliyopo kulima mazao yenye hela nyingi, ili tutumie hiyo hela kununua mahindi kwenu na kufanya mengine mengi, ndio maana nikasema unaweza ukawa na ardhi ekari moja ukamzidi kipato mwenye ekari mia.
Jambo la kushangaza ni kwamba, Tanzania ambayo haisumbuliwi Sana na ukame, ndiyo iliyojenga mifumo mikubwa ya umwagiliaji zaidi ya mara 3 ya Kenya. Who is who?Ni kweli nchi inapitia kiangazi kikali kama nilivyokuambia zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame tupu, mngepewa hii nchi nyie mngeisha wote kwa mlivyo wazembe, hata hivyo huyu DP sijui kaokotwa wapi, silipendi.....sijawahi kuskliza sera zake, hapa tulipigwa.
Anyway aluta continua, tunaendelea kuboresha nchi licha ya changamoto zote hizi na tutaongoza miaka 100 ukanda huu....
Sasa ingekua hivyo msingekua kwenye red-light, Kenya kuna Njaa sioni kama mmesolve kama ulivyoandika au unaogopa kusema ukweli?Imebidi tutumie akili kwa kutumia ardhi kidogo iliyopo kulima mazao yenye hela nyingi, ili tutumie hiyo hela kununua mahindi kwenu na kufanya mengine mengi, ndio maana nikasema unaweza ukawa na ardhi ekari moja ukamzidi kipato mwenye ekari mia.
Yani anasema wanalima mazao yenye faida ili wanunue mahindi kwa bei nafuu,kama ingekua iyo ni kweli basi nilitegemea wawe na food storage kubwa sana kwenye maghala yao na neno Njaa lisiwepo Kenya.Mdogo wangu nakuheshimu. Huwezi ukaanza kuongea unjinga namna hii nakuangalia. Hivi eneo mnalolima maua mgelima mahindi njaa ingetokea wapi?



Nani amewahi kupanda ilo ferries wheel aniambie linautamu gani
Sasa mbona Riggy G anaongea tofauti na yeye yuko jikoni kabisa?
Sasa ingekua hivyo msingekua kwenye red-light, Kenya kuna Njaa sioni kama mmesolve kama ulivyoandika au unaogopa kusema ukweli?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hawa, hasa mwenyekit wao Mbowe, wakitoka huku lazima waende dodoma 😀
Hamnaga tajiri anbaye hawezi afford chakula. Hiyo GDP ya kwenye makaratasi ugiriki waliumbakaga, it's matter of timeSiku mkitukaribia kiuchumi unitag, ila kwa sasa na hata miaka hamsini ijayo pole yenu.
Hamnaga tajiri anbaye hawezi afford chakula. Hiyo GDP ya kwenye makaratasi ugiriki waliumbakaga, it's matter of time
Nyie level yenu ni somaliaChakula tunanunua sana tu, jeuri ya hela, mngekua na akili hiyo ardhi yenu kubwa ingewatajirisha sana.
Ombaomba makamu wa rais, where is GDP
Imeisha hiyo
![]()
Huyo ni Mkundustan numero uno!Nchi yenu kame na mnaongoza kwa kulima Chai duniani?izo arable land mnazitumiaje?labda utoe excuse ingine
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app