Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sahv Dar tunajitahidi usafi sana maeneo ya mjini...sio rahisi kukuta takataka kama hizo
Just imagine hii ni barabara hapo CBD inaitwa Haile Selassie Avenue 🤣🤣🤣
20230113_222640.jpg
 
Huyo jamaa miradi ya SGR na bwawa la umeme sio kama hajui impact yake baadaye, no sema kwasababu aliyefanya ni Magufuli so anajaribu kumpaka tope mwishoe anajichafua mwenyewe. Hivi mtu na akili zako unaweza kupinga mradi wa umeme?
Anajichanganya apo,unataka uchumi ukue alafu hauna umeme?au alitaka tutengeneze umeme wa aina gani...Jpm hata ukimchukia kuna mambo alisimamia na kuyaweka vizuri sana especially suala la umeme na reli
 
Midomo yao sasa.. utasikia
'The best country in Africa' [emoji23][emoji23][emoji706]
Yani hovyo sn Wakenya, utakuta wanapiga picha vi estate uchwara wanawaingiza mkenge watu, hata baadhi ya watz huwa wanaingia mkenge but in reality Kenya iko hovyo sn hata wao wanajua hilo wako hovyo kweli kweli, yn ni binadamu wa kale sana.
 
Hovyo kabisa hawa watu, nitafikiria kama niendelee kubattle nao au niache niwe tu na post picha za Dar, ku battle na watu wa hovyo namna hii ni kujishusha thamani.
 
Ndiyo maana nmeshangaa sn, sina hata hamu ya ku battle nao hawa jamaa, wa hovyo sn hawa.

Lakini wanachoandika na wanachosema utadhani wanatokea dunia ya Kwanza.

Hili battle tunalo tu kuenjoy.

Hawa Jamaa walitakiwa wawe pamoja na South Korea, Singapore and the likes, Lakini wapo hapa tunatembelea kichwa wote[emoji23]

Kama mimi nisinge jiaibisha hivi.
 
Hawa jamaa inabidi tuwe wakali sasa kuwa wakiendelea namna hii tutawatimua kwenye EAC, hatuwezi kuwa na partner state wachafu namna hii, wanatia aibu Jumuiya, kah!!!
Mkuu inakera sana ku battle na wapumbavu design hii, yn wanatuweka humu tunabishana alafu hakuna mabadiliko yoyote, manaake nn sasa.
 
Lakini wanachoandika na wanachosema utadhani wanatokea dunia ya Kwanza.

Hili battle tunalo tu kuenjoy.

Hawa Jamaa walitakiwa wawe pamoja na South Korea, Singapore and the likes, Lakini wapo hapa tunatembelea kichwa wote[emoji23]

Kama mimi nisinge jiaibisha hivi.
Yani hawa wapuuzi hii thread inasaidia Tz pekee mana tangu kuanzishwa kwake mabadiliko makubwa yametokea Tz kuanzia viongozi mpk raia, watu wanazidi kustaarabika, imebaki kitu kimoja tu UJENZI HOLELA ambayo nayo tunakwenda kuikomesha, lkn kwa upande wa hawa jamaa hii thread haijawasaidia chochote.
 
Mkuu inakera sana ku battle na wapumbavu design hii, yn wanatuweka humu tunabishana alafu hakuna mabadiliko yoyote, manaake nn sasa.
Sana kaka, yaani kuna mitaa ukipita Nairobi (tena CBD) usipotapika basi wewe unaweza kupigia msosi kwenye choo cha stand comfortable kabisa, na sisemi hivi sababu ya battle, nasema hivi sababu hawa ni ndugu zetu na tunategemea wajifunze ustaarabu kidogo lakini wapi?

Wakati nakua tulikuwa na jirani yetu Mkenya, to be honest alikuwa ni symbol ya uchafu mtaani kwetu, na alikuwa na uwezo mzuri tu, lakini watoto wake wanakunya barabarani mchana peupe, tulikuwa tunashangaa sana mpaka Serikali ya Mtaa ikamkalia kikao alafu yeye anaona kawaida tu. Yule mama alijenga image mbaya sana kichwani kwangu kuhusu Wakenya toka nilipokuwa na umri mdogo kabisa, mara ya kwanza natinga Nairobi I was even pissed off mpaka nikajiuliza nimefuata nini huku?

Nicxie wewe ni Mkenya mstaarabu kidogo humu, namna gani hii? Tuache battle pembeni lakini to be honest mnakosea sana heshima nchi yenu. Badirikeni basi Budda kah!!!
 
Tanzania katika hili tunalala, tulitakiwa (behind the scene) 'tumtumie' Yarp Merkez kuwashauri Uganda wajenge ya kupitia Lake Victoria
Au labda Yarp Merkez atatumia hio fursa kujenga hadi Malaba sijui, ili wafanye mchakato wapate fursa ya kujenga upande wa Kenya (either electrified or non electrified)

Yule Jamaa angekuwepo hii reli ilikuwa inakuja mutukula na si malaba.
Dalili zote zinaonyesha
 
Back
Top Bottom