Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ili mambo yawe sawa bado tunahitaji wawekezaji walete hela ndani ziongeze mzunguko...Na kupambana kuongeza uzalishaji wa ndani ili tuongeze mauzo zaidi
So ongezeko ni dogo japo Kwa absolute value linaonekana kuongezeka kuliko mwaka uliopita ,shida ya bei kupanda Duniani zimeharibu productivity ya firms..

Mwisho bila shaka mwaka 2023 , growth rate inaweza kuwa zaidi ya 5 Kwa sababu kutakuwa na stability ya food supply maana mvua ziko vizuri Ila pia kuanzia 2024 huko uchumi utarudi kule kwenye 7% maana nyingi ya investments zinazofanywa Sasa zitakuwa zimeanza kuzalisha.
 
So ongezeko ni dogo japo Kwa absolute value linaonekana kuongezeka kuliko mwaka uliopita ,shida ya bei kupanda Duniani zimeharibu productivity ya firms..

Mwisho bila shaka mwaka 2023 , growth rate inaweza kuwa zaidi ya 5 Kwa sababu kutakuwa na stability ya food supply maana mvua ziko vizuri Ila pia kuanzia 2024 huko uchumi utarudi kule kwenye 7% maana nyingi ya investments zinazofanywa Sasa zitakuwa zimeanza kuzalisha.
Ukiangalia kutakua na mradi gani mkubwa baada ya hii inatotekelezwa sasa uko badae? Inahitajika miradi kadhaa ya kuongeza mzunguko mkubwa wa hela ili mtaani hela ionekane especially kwenye mahitaji ya kila siku...
 
Tofauti ni sisi hatuangalii station zao so wakitutaja mara nyingi hatuna habari ila wao huwa wamejikaza kwa stesheni zetu wakitajwa tu hivo ndio hao all over. 🤣
...
Mbona watanzabia mnapenda sana kubadilisha gari nzee ati iwe new model...alafu mnatuwekea hapa , bro nunueni gari yenyewe sio kuweka mkebe pale TTTR Auto upgrades... ila napenda kazi yake

Hii ndio chuma yenyewe Land cruiser ZX 2022
images (2).jpeg
images (1).jpeg
images (3).jpeg
images.jpeg
 
Dr Frene Ginwala, the first parliamentary speaker of democratic South Africa and former Tanganyika Standard chief editor.

Tanganyika Standard is an old English newspaper of Julius Nyerere's Tanzania. She held that position from 1960s until she was succeeded by Vanessa Mdee's father in 1979.
 
BRT III imeanza kutekelezwa,Kandarasi ya 20months iwe imeisha so ni hadi Oct 2024 wanatakiwa wakabidhi,Nimeona mkandarasi wamemkalia kooni sahivi Yupo serious kiasi cha kuridhisha...

BTW kila mmoja wenu ajitahidi kua na Gari yake binafsi ujiepushe na kero ndogo ndogo za usafiri wa Umma
 
Ukiangalia kutakua na mradi gani mkubwa baada ya hii inatotekelezwa sasa uko badae? Inahitajika miradi kadhaa ya kuongeza mzunguko mkubwa wa hela ili mtaani hela ionekane especially kwenye mahitaji ya kila siku...
Binafsi mamiradi makubwa kama haya ya Sgr na bwawa siyataki kabisa maana yanaua uchumi..

Unawekeza pakubwa ila Tija yake ni ndogo,miradi ya hivyo haifai kabisaa..

By the way miradi ni Mingi sana tena ya size ya Kati kuanzia viwanda Hadi majengo..

Mfano kwenye sekta ya Kilimo Kuna uwekezaji mkubwa unaendelea Kwa Ajili ya Kilimo mfano 👇


So investments kwenye sekta kama Kilimo ni muhimu sana Ili kuondoa mabilioni ya pesa tunazotumia kuagiz vyakula ambavyo tunaweza kuzalisha ndani,soma hapa👇
 
Binafsi mamiradi makubwa kama haya ya Sgr na bwawa siyataki kabisa maana yanaua uchumi..

Unawekeza pakubwa ila Tija yake ni ndogo,miradi ya hivyo haifai kabisaa..

By the way miradi ni Mingi sana tena ya size ya Kati kuanzia viwanda Hadi majengo..

Mfano kwenye sekta ya Kilimo Kuna uwekezaji mkubwa unaendelea Kwa Ajili ya Kilimo mfano


So investments kwenye sekta kama Kilimo ni muhimu sana Ili kuondoa mabilioni ya pesa tunazotumia kuagiz vyakula ambavyo tunaweza kuzalisha ndani,soma hapa
Ilikua lazima tuandae umeme wa kutosha kwa manufaa ya badae,na njia ya kupitisha mizigo mizito ili barabara zidumu...Hakuna kilichopotea so far,Angalia nchi zilizoendelea kama hawana umeme wa uhakika na reli
 
Ilikua lazima tuandae umeme wa kutosha kwa manufaa ya badae,na njia ya kupitisha mizigo mizito ili barabara zidumu...Hakuna kilichopotea so far,Angalia nchi zilizoendelea kama hawana umeme wa uhakika na reli
Sijkataa umeme Mkuu maana ni muhimu Kwa uzlishaji ila nachokataa ni selection za miradi ya kuanza nayo..

Ukweli ni kwamba Sgr ni tembo mweupe mkubwa sana ambae haitaleta Tija yeyote pamoja na sifa zote maana Bhati mbaya inajengwa kusiko na mzigo wowote..

Napenda serikali iweke Nguvu kwenye Barabara za lami tufungue fursa mikoani sio kutegemea infrastructures za dsm Kwa 70% ya revenues ya Nchi..

Kama wameweza kuongeza Bajeti ya Tarura kutoka bil.272 Hadi Bil.800,Bajeti ya maji kutoka bil.305 Hadi 700,Kilimo kutoka bil.294 Hadi Bil.954 n.k nk .

Naamini Serikali haitakosa bil.800 kuongeza huko TanRoads na Tarura tujenge Barabara za lami ,hapa tukumbuke bil.400 za sensa tayari zinaweza kuwa allocated tayari hizo zingine zitptikana Kwa kukata basdhi ya expenditures..

Barabara,umeme,maji,Kilimo na uwekezaji ndio vitaleta pesa Kwa haraka..
 
Sijkataa umeme Mkuu maana ni muhimu Kwa uzlishaji ila nachokataa ni selection za miradi ya kuanza nayo..

Ukweli ni kwamba Sgr ni tembo mweupe mkubwa sana ambae haitaleta Tija yeyote pamoja na sifa zote maana Bhati mbaya inajengwa kusiko na mzigo wowote..

Napenda serikali iweke Nguvu kwenye Barabara za lami tufungue fursa mikoani sio kutegemea infrastructures za dsm Kwa 70% ya revenues ya Nchi..

Kama wameweza kuongeza Bajeti ya Tarura kutoka bil.272 Hadi Bil.800,Bajeti ya maji kutoka bil.305 Hadi 700,Kilimo kutoka bil.294 Hadi Bil.954 n.k nk .

Naamini Serikali haitakosa bil.800 kuongeza huko TanRoads na Tarura tujenge Barabara za lami ,hapa tukumbuke bil.400 za sensa tayari zinaweza kuwa allocated tayari hizo zingine zitptikana Kwa kukata basdhi ya expenditures..

Barabara,umeme,maji,Kilimo na uwekezaji ndio vitaleta pesa Kwa haraka..
Pesa ya mfuko wa barabara inatokana na tozo ya mafuta kwa lita moja ni kama 256tshs na kwa mwaka wanakusanya 650B tu, factors zipi zinazochangia katika kuongeza matumizi ya mafuta? Maana mbali na kukopa hela za kujenga barabara inatakiwa mfuko wa barabara wenyewe kwanza ueleweke...
 
Pesa ya mfuko wa barabara inatokana na tozo ya mafuta kwa lita moja ni kama 256tshs na kwa mwaka wanakusanya 650B tu, factors zipi zinazochangia katika kuongeza matumizi ya mafuta? Maana mbali na kukopa hela za kujenga barabara inatakiwa mfuko wa barabara wenyewe kwanza ueleweke...
Kuna pesa zingine kutoka mfuko Mkuu wa Serikali.

Mfano Tarura wanapata pesa kutoka vyanzo 5,
Road fund,wanagawana na TanRoads,
Fuel levy ndo hiyo tozo,
Ruzuku ya Jimbo mil.500 Kila Jimbo(Central govnt development),
Own Source ya Halmashauri,
Wahisani na mikopo(Fedha za Nje)..

TanRoads ni Road fund,Central govt development fund(Central govt) na pesa ya Nje yaani mikopo/wahisani

So ni suala la serikali kuongeza amount tuu kutoka hizo sources zake
 
There was a time when this building in the middle of the pic (the one housing KCB Bank) was the tallest in Nairobi! Kweli tumetoka mbali. It's also good to see such old colonial buildings still standing the test of time
CyhvaHoWQAAhAA2.jpg
 
Back
Top Bottom