Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Chunya to Mbeya 70Km entirely paved...
Hii ndio miradi mi binafsi inanibamba,we need to pave more roads in upcountry to boost economy and improve people lives, Easy kwenda mjini,easy kusafirisha mazao yako na unatunza wakatiView attachment 2477879View attachment 2477880View attachment 2477881View attachment 2477882
Siridhidhwi na uwekezaji mdogo wa pesa kwenye barabara.Hii Nchi ni kubwa na Kila sehemu Kuna uhitaji mkubwa sana wa barabara lakini Kasi ni ndogo.

Nguvu inayotumika ku push sgr na bwawa la Nyerere ingetumika kwenye barabara Leo hii tungekuwa tunazungumzia uchumi unaokua kwa zaidi ya 10%.

But unfortunately kwa mwaka zinajengwa km chini ya 500 za lami za barabara kuu,za Tarura hasa Vijijini hata km 30 hazifiki.
 
Tuliwaambia hapa wameenda location kupiga picha tuu hamna jeshi hapo.

Screenshot_20230112-082149_Opera.jpg
 
Hivi sehem kama hio hakuna blocks katikat nan anapanda hilo daraja kuvuka barabara? Huku kwetu hilo daraja ni white elephant .. pale mbez kwenyew katikat kuna fense na bado watu hawataki kupanda juu
Huwa wanaweka vitu ili kufurahisha macho lkn sio kwa mahitaji, hawa watu hawahitaji chochote kwa sasa huko kwao zaidi ya elimu. Wakenya wanahitaji elimu na unga kwanza kabla ya chochote.
 
Tanzania katika hili tunalala, tulitakiwa (behind the scene) 'tumtumie' Yarp Merkez kuwashauri Uganda wajenge ya kupitia Lake Victoria
Au labda Yarp Merkez atatumia hio fursa kujenga hadi Malaba sijui, ili wafanye mchakato wapate fursa ya kujenga upande wa Kenya (either electrified or non electrified)
 
Tanzania katika hili tunalala, tulitakiwa (behind the scene) 'tumtumie' Yarp Merkez kuwashauri Uganda wajenge ya kupitia Lake Victoria
Au labda Yarp Merkez atatumia hio fursa kujenga hadi Malaba sijui, ili wafanye mchakato wapate fursa ya kujenga ya Kenya (either electrified or non electrified)
Uamuzi wa busara huo. Quality, modernity and value for money matters.
 
Back
Top Bottom