Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila kaka kama ume-notice, source ni NMG outlets! Usiwaamini sana kuhusu section ipi inajengwa kwanza! Hawa jamaa huwa wana tendency ya ku-fantasize the reality, refer EACOP saga! Mimi nangoja Uganda Govt i-gazette hii tender au at least New Vision waandike! So far anything can happen!
SGR ya kwanza Uganda inajengwa Kampala mpaka Tororo hizo ni za ndani motomoto kabisa.
 
Aluta Continua, ifikie kipindi na sisi ukiacha mizigo, mtu unataka kuzama Juba, Kigali, Kampala au Gitega one time unakwea gogo la kasi kama Ulaya, alafu you know what, all the lines lead to Dar The Capital of The Capitals, hii Station ya hapa Sokoine Drive naiona ndogo ati.
Halafu Merkez atawajengea Uganda reli ya umeme sasa sijui kenya itaendaje bila ya kenya ku upgrade waweke umeme pia maana hapa mwendo ni full electric locomotives hakuna fossil guzzler itakoyofungwa kwenye train.
 

Hapa ni MGR tuu itakuwa refurbished. Building of Uganda SGR to Malaba is contingent upon Kenya finishing its stretch of rail from Middle of nowhere to Malaba. But I don't see any efforts towards that end na Uganda hawawezi kuwa wajinga wajenge a rail to nowhere wakati wana major towns zenye population kubwa inayohitaji huduma za reli.
 
Uganda washaamua ni wapi SGR yao inapita, wadanganyika wajitekenye tu
1673687117881.jpeg

1673687140811.jpeg

1673687170438.jpeg

1673687185825.jpeg
 
Halafu Merkez atawajengea Uganda reli ya umeme sasa sijui kenya itaendaje bila ya kenya ku upgrade waweke umeme pia maana hapa mwendo ni full electric locomotives hakuna fossil guzzler itakoyofungwa kwenye train.
Inaenda wataweka locomotive ya diesel Malaba! Kumbuka diesel locomotive inapita pia kwenye electric SGR track!
 
Inaenda wataweka locomotive ya diesel Malaba! Kumbuka diesel locomotive inapita pia kwenye electric SGR track!
Sasa si mpaka wajenge SGR from porini to Malaba. Na hali ya uchumi ilivyo sasa huko Kunyaland I don't see it being constructed within the next 10 years. At the same time TZ can maximize on lake victoria port infrastructure and marine vessels to carry goods to Port Bell.

Within those 10 years wakati jirani ana scratch kichwa sisi tumesha establish a seamless railway network connecting Rwanda, Congo, Burundi na Uganda to Dar and Tanga Ports.
 
Back
Top Bottom