REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,239
- 10,926
Inaonekana hii ndio itakavyokua.Yule Jamaa angekuwepo hii reli ilikuwa inakuja mutukula na si malaba.
Dalili zote zinaonyesha
Bado hatujajua nani anafand hii project, ila nafikiri ni Turkey na Turkey hawezi fand hii kitu kupeleka malaba kwa kumfaidisha Mchina.
