Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mpaka tunafunga mwaka 2022 Kenyan available power was 2200MW sasa leo January hata haijaisha wanasema iko 3000MW sasa hizo 800MW mmezitoa wapi kwa kipindi hiki kifupi? Hata ukiweka 200MW from Ethiopia bado haifiki 3000MW.

Kazi kucheza na makaratasi tuu mtaumbuka vibaya sana.

Ugua pole pole..,
 
Bongolala msiwe watu ambao hawakosolewi. Power rationing na power outage ni vitu viwili tofauti na zote zinasababishwa na vitu tofauti.

Power rationing inatokana na nchi kutokuwa na umeme wa kutosha kutimiza mahitaji ya watumizi on a daily basis. Matokeo yake ni umeme kupewa kwa mgao. Power outage nayo ni ukosefu wa stima in certain areas for a certain period of time say an hour, two hours, half a day, a whole day or two days na husababishwa mostly na technical issues au mitambo za kusambaza umeme kuwa na shida fulani. This can be caused by natural calamities kama Upeo kukana nyaya za kusambaza stima and such kind of things. Usijifanye muelewa na hakuna kitu unaelewa
Mbona unaandika gazeti?
 
Somo la tofauti kati ya slums and unplanned settlements nilisha litoa mara nyingi humu. Sasa usichoelewa ni nini??
Shida ni elimu yao ya kutoka form IV kwenda chuo.
Niambieni Kama zile dreamhouses zenu are not in squalid condition and overcrowded
Screenshot_20230111-134031~2.png
 
Areas around Nairobi na Kisumu tuu ndio zinaonekana kwingine kote ni giza tororo.
You should know the population distribution in Kenya ndio utoe povu Northern Kenya is sparsely populated if you didn't know
 
Somo la tofauti kati ya slums and unplanned settlements nilisha litoa mara nyingi humu. Sasa usichoelewa ni nini??
Hizi ni slums kwa dunia ya leo.., yaani Dar is slum 90% na ndio ilivyo makazi mikoani ukatae ukubali, hii ni uchafu na picha ya ufukara, wacha kutetea upuzi tafuta suluhisho maana idadi inaongezeka kwa kasi!!.,
1673436589175.png

1673436756132.png

1673436385174.png

1673436424113.png

1673436455862.png
 
Jana umekula kichapo heavy mpk ukakimbia, leo umerudi tena, kweli hii battle ni endless
Ah wapi, mnajiaibisha tu humu.., mnatumia nguvu nyingi mno kujaribu kuponda Kenya, yaani mnatafuta tafuta ya kupost, haiko obvious kama ilivyo Tanzania, yaani sihitaji kutafuta tafuta kule Tz, naweka tu aerial views na hiyo ni tosha, uswazi na ufukara umetapakaa, unaonekana kwa mtazamo wa kwanza, ndugu yako inabidi azurure ili kutafuta matako ya Kenya 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ., poleni sana, inauma ila zoea😝😝🔥🔥🔥🔥😂😂😂
 
Ni za current, na inakua worse kwa vile most of them are poor, can't afford standard living.,
Of course ni current. Don't you know they live in denial? Post any bad picture of Dar or anywhere in Tanzania here and they'll all camp here all day reminding you that hizo ni picha za 70s. Hata hii picha hiyo brt haingekuwepo wangekataa na kusema ni ya 90s.
2209114_tapatalk_1567199234954.jpg

Ndivyo walivyo hawa vilaza
 
These guys are constantly chasing empty dreams of being the first in Africa or EA to have something of such magnitude. I always remind them here that they have misplaced priorities.

They need to learn how to wisely spend on things that are more productive such as agriculture, import substitution industries and tourism. That money if invested properly would have brought alot of multiplier effect on the economy.
We waache tu waemdelee kulima maparachichi na maua
 
Lest they forget, yaani kuwakumbusha msije mkasahau huku hamjafika na hamtafika karne hii.., 'Eastlands' ya Dar ni uswazi.., hapa ingekua Tanzania ingekua kwa matajiri.., 🔥 🔥 🔥 😂 😂 😂
1673440594999.png

1673440665526.png

1673440696139.png

1673440727662.png
 
Back
Top Bottom