Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Madungujeshi mpaka uswazi, uswazi wenyewe Streets za uhakika 🤔

FmDl31GWIAgkVH_.jpeg
 
Umepanic Oga,
See this one for Njombe .. usiweke clips with 15 years,
15 years is a lot for a vehicle mzee, tumia common sense.


The same way you select the good parts of Njombe (which are still underwhelming), I selected the bad parts - similarly, you ichoboy is selecting the places he deems underwhelming to take photos of and share here. Don't show your stupidity.

Halafu hiyo Njombe yako vumbi tupu. 🤣 🤣

1673166803022.jpg
 
International destinations for major airlines in EA (Kenya, Uganda and Tanzania) ziko 5 tatu zikiwa Tanzania pekee.
Na ndio hapo huwa sioni sababu za ATCL kushindwa kutoboa, yaani Bongo ni destination alafu pia ni transit, tukiwa serious kwenye Airline business hata Wahabeshi hawatatufikia. Moja kati ya vitu nitamshukuru Magufuli (RIP) ni kufufua ATCL na kununua ndege na kuboresha miundombinu, kwa hili aliona mbali sana na alilisimamia vilivyo.

Imagine tunaongelea kuwa na Watalii 5M by 2025, unajua ni trip ngapi za ndege hizi? Let’s say ATCL ipate tu 30% ya hizo trips kama direct flight to destination, haijatoboa tu? Tununue ndege za kutosha, hawa jamaa hawana cha kutushinda na ndege zao hizo walizotuibia.
 
Kwani kabla ilikuaje? Hata Sasa Ni compulsory mbona
Labda wangesema kwa primary school lakini kwa secondary it has always been English as a language of instruction.

Besides english as a subject has always been compulsory in both primary and secondary schools.

Hapa sijui anamaanisha nini kwa kusema hivyo.
 
Back
Top Bottom