Mombasa ulinganishe na Dar? Hebu acha utani basi.Mombasa ni dawa tosha kwa Dar.., hehehe.., yaani hii ni posh residential hii ingekua in Mombasa ni mtaa ya kawaida sana, akina Shanzu hivi, hakuna high end estate in Coast without tarmac, Tz bana 😂😂😂😂😂😂
Usikute hii ni nyama ya Mbwa……hawa jamaa hawaaminiki🤔Wanajisahau sana hawa wajinga. Alivyopost hii aliona tutaona wivu 😀 kumbe kapost kichefuchefu
View attachment 2476865
Sasa hao ukikutana nao ndio watakutia kwenye kiroba hao si watu.Haya nipige basi ili hasira zako ziisheyani unaniambia mm sina kazi za kufanya serious mm nawaletea pesa za kigeni kwenu alaf unanitukana kweli?????
These guys are constantly chasing empty dreams of being the first in Africa or EA to have something of such magnitude. I always remind them here that they have misplaced priorities.Mau Summit 250km under construction, sio?
Pata taarifa
Chakula sijalaumu sana though milo kama hiyo mimi nimesha acha cause I am practicing healthy eating ila hiyo sinia seriously sijaweza kula nayo kabisa.your trash talk, insecurity and jealousy speak volumes about your economic situation compared to my sweet innocent well-cooked meat![]()
![]()
huyo ni wewe mimi sina shida kula kwa sinia kama hiyoChakula sijalaumu sana though milo kama hiyo mimi nimesha acha cause I am practicing healthy eating ila hiyo sinia seriously sijaweza kula nayo kabisa.
dar ata haijajaza the 1590 square km area ambayo imetengewa alafu jamaa anataka ishindane na Nairobi ambayo imejaza the 696 km square km designated area and spread to adjacent counties {metro}According to him Dar hasn't grown since 1962.
sijawahi patana na wanaume wenye wivu kama hawa wadanganyika wa jamii forumsAchana na vilaza wa bongo. Kama hii chuki ingekuwa productive kwao, they wouldn't have the highest number of poverty rates in this region
Tounyeshe Marange rover za town ndogo za Bongo tuhame uzi.
Range Rover za Njombe hizo
![]()
Watakuambia hizo ni artery roads




Kapanic huyo kwisha habari yake


