Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

if you are eating this, wewe ni kapuku, kwanini unazungumza kingereza humu, ili kupretend ? Na unapata wapi guts za kusemea vibaya JPM mtu mwenye mafanikio katika maisha yake binafsi mara 100 kuliko ukoo wenu wote ?
My advice: work had ujikwamue kwenye ufukara.
View attachment 2477087
Kwa hii plate ni indicator of poverty tosha .. sijui hizo nyama zimewekwa malimao mazima mazima .? 🤣🤣🤣. Mavitunguu makubwa makubwa.. no wonder jamaa wanasema ni diko ya dogi
 
Kwa hii plate ni indicator of poverty tosha .. sijui hizo nyama zimewekwa malimao mazima mazima .? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mavitunguu makubwa makubwa.. no wonder jamaa wanasema ni diko ya dogi

Hiki ni chakula cha mbwa Mkuu, labda angesema Bora Mbwa wao anakula nyama imeandaliwa [emoji23]Ki mbwa mbwa [emoji23]
 
Na hilo sinia la kuwekea chakula cha dogi [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila simshangai sababu mpaka ikulu yao wanatumia hayo makarai halafu si mnakumbuka alisema anafanya kazi ikulu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2477017View attachment 2477018

Labda anafanya ikulu ya makende yake. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ona mchemsho simple wa kuku kama huu.
IMG_4804.jpg
 
Na ndio hapo huwa sioni sababu za ATCL kushindwa kutoboa, yaani Bongo ni destination alafu pia ni transit, tukiwa serious kwenye Airline business hata Wahabeshi hawatatufikia. Moja kati ya vitu nitamshukuru Magufuli (RIP) ni kufufua ATCL na kununua ndege na kuboresha miundombinu, kwa hili aliona mbali sana na alilisimamia vilivyo.

Imagine tunaongelea kuwa na Watalii 5M by 2025, unajua ni trip ngapi za ndege hizi? Let’s say ATCL ipate tu 30% ya hizo trips kama direct flight to destination, haijatoboa tu? Tununue ndege za kutosha, hawa jamaa hawana cha kutushinda na ndege zao hizo walizotuibia.
Yule mzee hakuwa na baya kwa taifa lake alilopenda kwa dhati ni vile tu baadhi hawakumuelewa, watakuja kumuelewa baadaye sn akiwa tayari ni mifupa. But hakuna kilichoharibika mana ata yeye alijua atakufa kwa ajili ya nchi yake na alikubali hilo even his speeches tell alot about it na chakushangaza aliamini kabisa haina maana kuishi maisha marefu pasipo kuacha alama ya milele, ameacha alama ya milele na kama sisi hatutomuheshimu watamuheshimu vizazi vijavyo.
 
Jana umekula kichapo heavy mpk ukakimbia, leo umerudi tena, kweli hii battle ni endless [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na hilo sinia la kuwekea chakula cha dogi [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila simshangai sababu mpaka ikulu yao wanatumia hayo makarai halafu si mnakumbuka alisema anafanya kazi ikulu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2477017View attachment 2477018
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo kapuku ni wa kawaida sana, hapo kaweka kwenye kiti cha plastic ili apige picha , ili tu atume humu, all that for what ?
Huyo jamaa ni fukara mnoo nadhani ni fukara kuliko Don YF Nicxie na Teargass aliwahi kusema anat.omb mademu wa elfu tatu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa hii plate ni indicator of poverty tosha .. sijui hizo nyama zimewekwa malimao mazima mazima .? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mavitunguu makubwa makubwa.. no wonder jamaa wanasema ni diko ya dogi
Halafu hizo nyama ukiziangalia hazina uniformity yoyote as if they are collected from different types of animals.
 
Mpaka tunafunga mwaka 2022 Kenyan available power was 2200MW sasa leo January hata haijaisha wanasema iko 3000MW sasa hizo 800MW mmezitoa wapi kwa kipindi hiki kifupi? Hata ukiweka 200MW from Ethiopia bado haifiki 3000MW.

Kazi kucheza na makaratasi tuu mtaumbuka vibaya sana.

 
Back
Top Bottom