Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1673440884958.png

1673440900931.png

1673440912916.png
 
SI atupie video za hyo migori town kama ni mwanaume tosha. Rather than selective cherry picking here there.
Mwingine amekuja kupiga picha za magari Kenya na kusema tulivyomasikini anasahau uhalisia wa hali ilivyo kwenye jiji lao kuu
 
Viraka tayari dadeq 😅😅😅
Mchina wa sgr ndio huyu huyu wa bypass, hii bypass itakuja siku ibomoke yote

View attachment 2477595View attachment 2477596
😂😂😂😂😂
Nawahurumia yani mitanganyika kwa jinsi hii barabara inawakosesha amani. Wewe ni mtu w pili kuomba hii barabara libomoke. Kwa kwanza alisema litabomoka kwa sababu pillars zake ni ndogo. Roho itazidi kuwauma na bado.
 
Back
Top Bottom