Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ona walivo wachafu sasa naombeni munipe ulinzi mwenyekiti wenu
Screenshots_2023-01-09-18-39-57.jpg
Screenshots_2023-01-09-18-39-40.jpg
Screenshots_2023-01-09-18-38-58.jpg
20230109_181331_HDR.jpg
Screenshots_2023-01-09-18-52-46.jpg
Screenshots_2023-01-09-18-52-46.jpg
Screenshots_2023-01-09-18-39-57.jpg
20230109_181331_HDR.jpg
 
Dear Nicxie amini kwamba hii battle ya access roads huiwezi ndugu yangu mm nakwambia, hii nchi yetu imejengwa mzee, yani mitaa mingi iko na lami, mm mwenyewe nmeshaweka picha nyingi humu za uswahilini kwenye lami, ila kama mjeuri sawa twende kazi.
Shida iko wapi kutuwekea hizo picha za access roads hapa si wana google street view ama walikuwa wanatudanganya hapa?
 
Gari ya Kubebea Nyasi .
Ila kwa lipicha kama hili ni vigumu sana mtu kukuelewa unaposema Advanced, SUPER, RICH , hii Picha ni definition ya Poverty. Angalia magari, Toroli la maji ( Maji husafirishwa kwa bomba lakini) gari la abiria ambalo ni lorry limelazimishwa kinyume, Nyumba kubwa haina madirisha, Nguzo moja ina nyama kama spider web, kwa jinsi palivyobanana na hatuoni road marking hatujui binadamu wanapita wapi.
Bila kusahau huo uchafu barabarani.
 
Back
Top Bottom