Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ichoboy01 tupe mrejesho ulisema upo shit hole country.
Leo nimekutana na defender moja ina body nyuma ndio ambulance yani nimecheka wallah🤣🤣🤣 hawa watu wanachekesha iko kama hii
gari za kubebea nyasi kwao ambulance
images (86).jpeg
 
Leo nimekutana na defender moja ina body nyuma ndio ambulance yani nimecheka wallah🤣🤣🤣 hawa watu wanachekesha iko kama hii
gari za kubebea nyasi kwao ambulance View attachment 2475138
Gari ya Kubebea Nyasi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Ila kwa lipicha kama hili ni vigumu sana mtu kukuelewa unaposema Advanced, SUPER, RICH 😂, hii Picha ni definition ya Poverty. Angalia magari, Toroli la maji ( Maji husafirishwa kwa bomba lakini) gari la abiria ambalo ni lorry limelazimishwa kinyume🤣, Nyumba kubwa haina madirisha, Nguzo moja ina nyama kama spider web, kwa jinsi palivyobanana na hatuoni road marking hatujui binadamu wanapita wapi.
 
Gari ya Kubebea Nyasi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Ila kwa lipicha kama hili ni vigumu sana mtu kukuelewa unaposema Advanced, SUPER, RICH 😂, hii Picha ni definition ya Poverty. Angalia magari, Toroli la maji ( Maji husafirishwa kwa bomba lakini) gari la abiria ambalo ni lorry limelazimishwa kinyume🤣, Nyumba kubwa haina madirisha, Nguzo moja ina nyama kama spider web, kwa jinsi palivyobanana na hatuoni road marking hatujui binadamu wanapita wapi.
Hio nchi ni ya mahustles.. uongo na ujanja ujanja mwingi. Plate numbers tu ni kama za kuchora na mkono.. hilo gari huko nyuma haijulikan ni ferari au isuzu 😄.. na huyo mwenye mkokoten akiwa humu anasema anafanya kazi ikulu 😄
 
Hio nchi ni ya mahustles.. uongo na ujanja ujanja mwingi. Plate numbers tu ni kama za kuchora na mkono.. hilo gari huko nyuma haijulikan ni ferari au isuzu 😄.. na huyo mwenye mkokoten akiwa humu anasema anafanya kazi ikulu 😄
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ofisi ya Rais Tamisemi yao 😂😂😂
 
Huyo tangu apewe punch na Venus Star basi aliikana Tz mpk leo yn huyo jamaa ana hasira za kike kweli kweli, cjui huenda labda ni mwanamke mana asilimia kubwa ya wanawake huwa wanahifadhi sn vitu.

Zamani hakuwa hivyo, alikuwa msifiaji hodari na mpambanaji kweli kweli katika kulitetea taifa lake ila tangu siku hiyo akaanza kubadilika taratibu mpk akafika hapo alipo, jamaa pia huwa hakubali kurekebishwa anadhani anajua kila kitu kisa anaishi nje, sasa mwacheni akosoe sisi ndio tunapenda watu kama hao.
Walker255 sio Mtanzania huyo. Ni Mkenya na ndio style yao ya kujivika uraia wa Tanzania mitandaoni.
 
Gari ya Kubebea Nyasi .
Ila kwa lipicha kama hili ni vigumu sana mtu kukuelewa unaposema Advanced, SUPER, RICH , hii Picha ni definition ya Poverty. Angalia magari, Toroli la maji ( Maji husafirishwa kwa bomba lakini) gari la abiria ambalo ni lorry limelazimishwa kinyume, Nyumba kubwa haina madirisha, Nguzo moja ina nyama kama spider web, kwa jinsi palivyobanana na hatuoni road marking hatujui binadamu wanapita wapi.
Mtaalamu wa kuchambua, vyote ulivyosema sikuviona ndio narudi kuàngalia tena
 
Asante kwa maelezo yako safi maanake mimi huwa sioni haja ya kuwajibu watu wengine humu juu wao hubehave ni kama either hawana elimu ama wanachagua kusumbua tu - kwa lugha ya kimombo wanaita sealioning.
Inafurahisha kuona unajiongelesha mwenyewe na account zako: NairobiWalker na Walker255.

😂😂
 
Back
Top Bottom