Kuna mpumbavu jana alikua anajitutumua kuhusu streets, hivi Wakunya kabisa ni watu wa kuongea kuhusu streets mbele ya Tanzania? 😂😂😂
Hii ni municipal ya Shinyanga wala sio Kahama lakini hutokaa upate Street kama hii Nairobi
View attachment 2474961
Namfahamu huyo jamaa ni guru kwenye agribusiness, hiyo ni yake kabisa na sio SUV pekee aliyonayoPassion na Focus kwa kile kitu unachopenda kufanya..
Nimependa kuona Prado hapo nyuma, natumaini ni yake.. huko twitter huwa naonaga tu anaongelea mambo ya farm.. "malembo farm".. kumbe inalipa na matokeo yake ni mazuri, ni pamoja na hilo Prado👏👏
😅😅😅 Leta streets za KilifiWewe inferiority complex itakuuwa
Lazima kinuke we subiri uone.Si maneno yangu bali ni maneno ya Riggy G
“Currently, there is no fun or glory in leading poor and disillusioned people".
Tz hapa tumepatia sana..japo kasoro ndogondogo zipo ila BRT tumetulia..Wakenya wamejaribu wakalamba mchanga.
Wameona kwanza chuma na jamvi la ton 35 kwa axle ama wanapita tuu?Wale mliokua mnatafuta wallpaper View attachment 2474987
Kilimo kinalipa sana TZ ujue tuu unapanda nini soko liko wapi na ukiondoa uoga utafanikiwa pakubwa tuu.Passion na Focus kwa kile kitu unachopenda kufanya..
Nimependa kuona Prado hapo nyuma, natumaini ni yake.. huko twitter huwa naonaga tu anaongelea mambo ya farm.. "malembo farm".. kumbe inalipa na matokeo yake ni mazuri, ni pamoja na hilo Prado![]()
Hapo hawa poor and disillusioned Kunyans wanapita kimya kimya.Lazima kinuke we subiri uone.
Usinikumbushe BRT onlyTz hapa tumepatia sana..japo kasoro ndogondogo zipo ila BRT tumetulia..Wakenya wamejaribu wakalamba mchanga.
















Tuna system bora kuliko hioTz hapa tumepatia sana..japo kasoro ndogondogo zipo ila BRT tumetulia..Wakenya wamejaribu wakalamba mchanga.
Sasa hapa unamuongopea nani, unachanganya commuter na SGR, naomba mwenye picha ya ile charcoal machine aiweke tafadhali













Wewe utajinyea bure😅😅😅 Leta streets za Kilifi
Dear Nicxie amini kwamba hii battle ya access roads huiwezi ndugu yangu mm nakwambia, hii nchi yetu imejengwa mzee, yani mitaa mingi iko na lami, mm mwenyewe nmeshaweka picha nyingi humu za uswahilini kwenye lami, ila kama mjeuri sawa twende kazi.Wewe utajinyea bure
Sgr iko wapi hapo?Sasa hapa unamuongopea nani, unachanganya commuter na SGR, naomba mwenye picha ya ile charcoal machine aiweke tafadhali![]()
Naona umeziweka zote humo humo, trunk roads, access roads, zitajichuja zenyewe







