Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wale mliokua mnatafuta wallpaper
20230109_132749.jpg
 
Kuna mpumbavu jana alikua anajitutumua kuhusu streets, hivi Wakunya kabisa ni watu wa kuongea kuhusu streets mbele ya Tanzania? 😂😂😂

Hii ni municipal ya Shinyanga wala sio Kahama lakini hutokaa upate Street kama hii Nairobi

View attachment 2474961


Passion na Focus kwa kile kitu unachopenda kufanya..
Nimependa kuona Prado hapo nyuma, natumaini ni yake.. huko twitter huwa naonaga tu anaongelea mambo ya farm.. "malembo farm".. kumbe inalipa na matokeo yake ni mazuri, ni pamoja na hilo Prado👏👏
 
Passion na Focus kwa kile kitu unachopenda kufanya..
Nimependa kuona Prado hapo nyuma, natumaini ni yake.. huko twitter huwa naonaga tu anaongelea mambo ya farm.. "malembo farm".. kumbe inalipa na matokeo yake ni mazuri, ni pamoja na hilo Prado👏👏
Namfahamu huyo jamaa ni guru kwenye agribusiness, hiyo ni yake kabisa na sio SUV pekee aliyonayo
 
Passion na Focus kwa kile kitu unachopenda kufanya..
Nimependa kuona Prado hapo nyuma, natumaini ni yake.. huko twitter huwa naonaga tu anaongelea mambo ya farm.. "malembo farm".. kumbe inalipa na matokeo yake ni mazuri, ni pamoja na hilo Prado
Kilimo kinalipa sana TZ ujue tuu unapanda nini soko liko wapi na ukiondoa uoga utafanikiwa pakubwa tuu.
 
Back
Top Bottom