Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nchi fulani hivi inayoibeba East and Central Africa kwa infrastructures za kisasa zaidi.
tapatalk_909802146_236x512.jpg
tapatalk_-889189666_680x510.jpg
tapatalk_-1510276619_288x512.jpg
image_downloader_1673021570574.jpg
tapatalk_596922208_242x366.jpg
image_downloader_1673021585639.jpg
image_downloader_1673021570574.jpg
image_downloader_1673021278751.jpg
IMG_20230108_195345.jpg
 
Venus Star ...... since wee ni mgeni huku, jua leo Mwanza size yake, kisumu ama eldoret... lakini nakuru ni 1.5×times the size of your highly publicised 2nd city.. Mwanza!🤣

more pain😖😖
Screenshot_20221114-111458_Google.jpg
Screenshot_20230108-221209_Gallery.jpg
 
Naona umetegea kwa kuvuta kinyoa kwenye kende zake unasubiri atikisike tu ukivute kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie mnahitaji elimu. Aliyepost ameandika “Nairobi in Art and Culture.” Huyo dada aliyechorwa ni character wa TV show ya Spain iliyopo Netflix inaitwa Money Heist. Jina lake ni Nairobi na ndiye character pekee mwenye jina la mji wa Afrika kwenye hiyo drama alongside wenzake kama Tokyo, Berlin, Rio, Denver na Helsinki. Idea nzima ni kuwa Nairobi is a global city na ni mji ambao ni influential sio kwenye politics (United Nations) na kiuchumi pekee pia hata kwenye sanaa.
 
Nyie mnahitaji elimu. Aliyepost ameandika “Nairobi in Art and Culture.” Huyo dada aliyechorwa ni character wa TV show ya Spain iliyopo Netflix inaitwa Money Heist. Jina lake ni Nairobi na ndiye character pekee mwenye jina la mji wa Afrika kwenye hiyo drama alongside wenzake kama Tokyo, Berlin, Rio, Denver na Helsinki. Idea nzima ni kuwa Nairobi is a global city na ni mji ambao ni influential sio kwenye politics (United Nations) na kiuchumi pekee pia hata kwenye sanaa.
😀 wanahitaji elimu au wew ndo unahitaji elimu? Maneno meeengi😀😄
Jamaa kauliza mji gan huu? Yan picha ipo mji gan?

Kwanza. Kwann uassume hawajui huyo dada anaitwa Nairobi kutoka series maarufu ya Money Heist..

Pili. Comments zako mara nying ni kuonyesha watu hawajui vitu, good thing sometimes hata hawangaiki nazo. stop this...
 
Back
Top Bottom