Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Suti kama Suti 🧐

FlMeZrwXkAEXPT5.jpeg
 
Sio lazima ufike kila mahali ndio maana Kuna internet..

Hiyo picha Ni ya ajabu? Wewe Cha Maana ulicho post Ni kipi?

Unasumbuliwa na nongwa Sana bwana Sukuma gang.

Nakuongezea kitu kingine Cha ajabu ili uchukie zaidi 👇


Umesema eti hawajigambi, sasa wajigambe kwa lipi? rudi shule wewe mbumbumbu ili uweze kujua matumizi sahihi ya internet.

Napajua Mozambique vizuri, kuanzi Tete, Beira mpaka Maputo, vyema.
 
Tesla ni gari ya kawaida sana yani nakushangaa kutuonesha tesla 🤣🤣🤣 lamboghini urus tafuta utuoneshe achana na ile ya uganda plz
Gari ya kawaida ambayo hakuna bongolala hata mmoja anamiliki. 😂 😂 Eti ya Uganda, naona bado unaumia sana, ingine tena ya kuongeza maumivu ndio hii hapa.

 
Back
Top Bottom