Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,720
- 107,165
Enda ukanyonyeshe wajukuu, maneno ya Tesla wachia vijana.
Enda ndo nini? Aina ya Mkundustan?
Enda ukanyonyeshe wajukuu, maneno ya Tesla wachia vijana.
Model Y ni kama Model 3, only model X ikona hizo milango za kufunguka na juu.Model Y also!
Enda usikie vibaya na huko we babu mzee kama kobe.Enda ndo nini? Aina ya Mkundustan?
Kabishane na Mkundustan mwenzio nairobae !Model Y ni kama Model 3, only model X ikona hizo milango za kufunguka na juu.
Wacha ushamba wewe mzee. Tesla model X zote milango hufunguka hivyoLeta model!
Uchafu unanikera sn mkuu, hata wa majengo kujengwa hovyo hovyo hata huku kwetu ni kitu kinanikera sn aisee.Chief inaonekana kati ya tabia zinakuchukiza ni uchafu, nikihesabu posts ambazo umezungumzia uchafu ni countless. Hongera sana.
Sasa hii ni gari yakusumbua watu mjini 🤣🤣Mwarabu bandia, hapo vipi?
![]()
Mwarabu bandia, hapo vipi?
![]()
Mtu kazi anapiga hela kiutaniutani tu
🤣🤣🤣🤣