Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nionyeshe ikiwa Uganda nifunge account. 😂😂😂 Umia polepole.


20221230_195259.jpg
 
Bro achana na hii kondoo itakusumbua kichwa bure ina wivu utasema wanavaa wigi 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wigi? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Au ndio haya mambo yameanza bottom up economy inajipa watu washakwea uwehu 😂😂😂

 
Nairobi CBD iko Uganda sasa. 🤣🤣🤣aaauuuuiiiiiii. Kujeni muone.
Ukipata ina plate number yakenya unitag nifunge acc 🤣🤣🤣 unalazmisha gari ya uganda iwe yenu kaaaaah
 
Wacha Ukundustan sasa unabisha hiyo gari ni ya Uganda? Kwahiyo yule Mtanzania mwenye Porsche ya plate numbers za TZ akija Kundustan gari inakuwa ya Wakundustan?
Punguza ujinga, hio gari ni ya mwenye Ndovu Cement na iko Kenya.

Hata hii ya Abu Joho mtasema ni Bongolala sasa.🤣🤣🤣

 
Wacha Ukundustan sasa unabisha hiyo gari ni ya Uganda? Kwahiyo yule Mtanzania mwenye Porsche ya plate numbers za TZ akija Kundustan gari inakuwa ya Wakundustan?
Yani imekaa kama mikondoo vile 🤣🤣🤣 tena gari iliokekana inavuka boda ya malaba kuja kenya sasa inamaana asije kenya kutembea au kama anashughuli zake pale
 
Punguza ujinga, hio gari ni ya mwenye Ndovu Cement na iko Kenya.

Hata hii ya Abu Joho mtasema ni Bongolala sasa.🤣🤣🤣


Ukipata ina plate number ya kenya unitag nifunge acc simple like that 🤣🤣🤣🤣 na je kama ame invest kenya utasemaje
 
Punguza ujinga, hio gari ni ya mwenye Ndovu Cement na iko Kenya.

Hata hii ya Abu Joho mtasema ni Bongolala sasa.🤣🤣🤣


Ukipata imesajiliwa kenya nitag nifunge acc🤣🤣🤣🤣🤣 mbona rahisi tu
 
Back
Top Bottom