Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


551249_02b5b35129bf01ef8c73444651fa15d2.png
 
Kwan hakunaga wakusanya chupa huko?
Shida sio wakusanya chupa, shida ni wakundustan wote ni wachafu, wana uchafu wa kuzaliwa. Hapo ukiangalia sio tu chupa kuna uchafu wa kila aina, hata Airpot nishawashuhudia wakundustan utakuta anakula pipi [emoji516] alafu ganda anatupa chini just imagine ni airport na dustbin zipo.
 
Shida sio wakusanya chupa, shida ni wakundustan wote ni wachafu, wana uchafu wa kuzaliwa. Hapo ukiangalia sio tu chupa kuna uchafu wa kila aina, hata Airpot nishawashuhudia wakundustan utakuta anakula pipi [emoji516] alafu ganda anatupa chini just imagine ni airport na dustbin zipo.
Chief inaonekana kati ya tabia zinakuchukiza ni uchafu, nikihesabu posts ambazo umezungumzia uchafu ni countless. Hongera sana.
 
Back
Top Bottom