Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20221230_111732.jpg
 
Kuna Video za hivi karibuni za Siku ya Christmas au Wiki hii za Nairobi kaangalieni [emoji23]Observe magari yao Barabarani , Watu pamoja na mionekano yao. Na mpate conclusion ya Maswali mengi [emoji23].
Hii kitu huwa ni obeservation yangu kila nikiona video kutoka kenya. Huwa nashangaa ninachokiona kwenye video na maneno wanayoletaga humu, ni vitu viwili tofauti. Mbinguni na Jehanam
 
Mim video zozote zinatoka kenya huwa naangalia mazingira ya pemben mfano watu walivyo/walivyoovaa na magari yanayopita..hakuna siku nimepata uhalisia wa GDP yao na ninachoona kwenye hayo mazingira au hata magari yanayopita..
Tujikumbushe😄
 
Sifa ya Lugha yoyote ile ni kuzaliwa, kukua na kuendelea kutokana na Misamiati mbalimbali. Bila shaka mna mchango mkubwa katika Ukuaji wa Lugha.[emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2463303
Sasa hapa kunakaribiana na hali ya kuzipiga ngumi! chaaa....! nakumbuka nilipewa ban jina la Kunyaland lilipoanza humu ila JF wakashindwa mikiki ya kukubalika jina lile! 2023 Kundustan ina-trend kinoma! mi naomba kuuliza mtu anayetoka Kundustan kama nairobae na Teargass wanaitwaje kwa Kiswahili? 🤭 🤭 🙆‍♂️🙆‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Sifa ya Lugha yoyote ile ni kuzaliwa, kukua na kuendelea kutokana na Misamiati mbalimbali. Bila shaka mna mchango mkubwa katika Ukuaji wa Lugha.[emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2463303
Sijaelewa hapa mkuu, kwamba ndio tayari ishapitishwa au [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hii kitu huwa ni obeservation yangu kila nikiona video kutoka kenya. Huwa nashangaa ninachokiona kwenye video na maneno wanayoletaga humu, ni vitu viwili tofauti. Mbinguni na Jehanam
Kundustan sehemu iliyoendelea ni ndogo sana ukilinganisha na Tz, walikuwa wanaringia vi estate uchwara ambavyo ni low quality, plus na vi flyover vya tofali but in reality wako hovyo mnoo.
 
Unaonaje?
aah mi sijui aisee naona kama sehemu iko ndogo! Kule Kunduchi wana sehemu nzuri! Wafikirie terminal ya ku-dock hata cruise ships tatu kwa mpigo with seabridges na pia boats za Zanzibar ziendelee kutia nanga bila usumbufu hapo Forodhani! Kwa maoni yangu waboreshe terminal ieendelee kuwa ya boats wakati terminal ya cruise ships iende Kunduchi!
 
Back
Top Bottom