Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mabasi ya Kenya sasa 😀 😀 😀 😀

46110197_998029850384719_8657460849511759872_n.png
 
Ulitaka kusema "ndumila kuwili"? Au uko kwenu Kenya ndivyo msemavyo?
kenya is a sovereign state! na kuna venye tuko na design yetu ya kiswahili..
hamuwezi tulazimisha kunonga kaa nyie.!! ala!
afteral kiswahili ilianzia pwani mwa kenya around Lamu na Kilifi hivi

nyinyi mnasema 'Gusa' sisi tunasema 'Guza'..
sisi vilevile 'Seng'enge' nyinyi 'Senyenge'..
▪︎Kukumanga kwa Kungumanga🤣
▪︎'Muundo Mbinu' kwa 'Muundo Msingi'
▪︎'Nyanya' kwa 'Bibi'
▪︎'Stima ama Umeme' kwa 'Umeme' pekee..
▪︎'Talanta' kwa 'Kipaji'
▪︎'Ufisadi' kwa 'Rushwa'..
▪︎'Metameta' kwa 'Meremeta'
▪︎'Ndumakwili' kwa 'Ndumila Kuwili'👇🏽
Screenshot_20221223-225913_Chrome.jpg

Screenshot_20221223-224055_Google.jpg
 
Back
Top Bottom