Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuniita poor unanikosea mno. Jana nilikuuliza issue yako ya Ghana. Mpaka leo hujanieleza. Nilikuuliza swali issue ya Ghana kuwa bankrupt inatuhusu nini sisi!? Hujanijibu. Nikakuuliza tena unataka tusikope!? Hujanijibu sasa unataka nikueleweje!?

Nakuuliza swali unieleweshe. Hutaki. Leo umeamka ukiwa na hasira na mimi. Unaanza kuniita poor. Are you serious!?
Kwani ni taarifa ngapi zinatumwa humu ndani za mataifa mbalimbali Mbona unasumbuka sana na iyo taarifa ya Ghana?
 
20221223_102720.jpg
 
La haula wala kuwata ila billah 🤣🤣🤣🤣🤣 bro naona kwa leo inatosha nenda upuzike
Tanzania mtasubiri miaka zaidi ya mia hamtafikia level ya Kenya kwa hiki kizazi chenu.., usijitekenye, sawa mkuu nimeenda zangu, Mombasa dawa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Nje ya Mombasa CBD, inland., kule mitaani🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 pumzika dogo.., hautaweza ni tamthlia utaandika humu bila evidence😂😂😂😂
1671780834093.png

1671780751277.png

1671780891927.png
 
Hivi uzuri na ubora wa kiwanja unapimwa kwa idadi ya watumiaji au unatokana na design ya jengo?.

JNIA is the best airport in this region, you can't question that whether we use it or we decide not to use it and keep it empty daily

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ishaiwin award gani of being the best? JKIA is winning awards every year ahead of that Mabati rolling mills 😂😂
 
Tanzania mtasubiri miaka zaidi ya mia hamtafikia level ya Kenya kwa hiki kizazi chenu.., usijitekenye, sawa mkuu nimeenda zangu, Mombasa dawa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Nje ya Mombasa CBD, inland., kule mitaani🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 pumzika dogo.., hautaweza ni tamthlia utaandika humu bila evidence😂😂😂😂
View attachment 2455442
View attachment 2455441
View attachment 2455444
Asante sana kwa kunifurahisha ama kweli siku ya leo nimefurah sana 🤣🤣🤣🤣🤣 hii ni utumbo gani bro
Tanzania mtasubiri miaka zaidi ya mia hamtafikia level ya Kenya kwa hiki kizazi chenu.., usijitekenye, sawa mkuu nimeenda zangu, Mombasa dawa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Nje ya Mombasa CBD, inland., kule mitaani🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 pumzika dogo.., hautaweza ni tamthlia utaandika humu bila evidence😂😂😂😂
View attachment 2455442
View attachment 2455441
View attachment 2455444
Bamburi mtambo 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana yani hata access ya road sioni naona vichekesho tu bro wallah leo nimecheka sana but thanks
Screenshots_2022-12-23-10-56-06.png
 
Busy for nothing, hawa wanadhani Airport inabidi iwe congested ndio ionekane inafanya kazi, wanasahau sisi hatutegemei Airport moja kama wao, tuna Karume iko busy mpaka imeipita JNIA, tuna KIA iko busy na nusu. Hatuna congested Airport sisi.
JNIA 1,500,000 passengers in 2021
KIM 500,000 passengers in 2021
 
Wewe hata u nurse unaosema kwamba ndiyo career yako nakataa, hakuna mfanyakazi wa health sector akawa busy na mitandao ya kijamii namna hiyo, si unamuona tuusan hapatikani mda wote kama wewe! Eti nurse alafu huna hata muda wa kupumzika, wewe ni jobless huna kazi wewe fala. Muda wote upo JF hiyo kazi unafanya saa ngp? Kidonda utaosha saa ngp na inajulikana kabisa hyo sector ilivyo busy, huna kazi msenge wewe wacha uongo.
Utateseka ukianza kushugulika na mimi. My leave started on 21st Dec,2022 young man hadi kesho 24th Dec, 2022. From 24th hadi 8th Jan, 2023 the company is closed for Christmas. So expect more of my presence here hadi 8th😂😂😂

Screenshot_20221223-110522_1.jpg
 
Back
Top Bottom