The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kwnn waafrika hatuna heshima.Mambo ya Jiwe hayo, design and build, force account. Airport terminal ikawekewa vibanda vimezunguka utadhani stendi ya daladala.
Kwnn waafrika hatuna heshima.Mambo ya Jiwe hayo, design and build, force account. Airport terminal ikawekewa vibanda vimezunguka utadhani stendi ya daladala.
Jiwe pamoja na mapungufu yake kaonesha nothing impossible. Hata baba wa atom (proton, electron and neutron ) bwana dalton alikosea lakini bado ndio chanzo cha uthubutu mpaka sasa anaheshimika. Jiwe kathubutu sana vilevile yeye ni binadamu "hakuna mkamilifu".Mambo ya Jiwe hayo, design and build, force account. Airport terminal ikawekewa vibanda vimezunguka utadhani stendi ya daladala.
Wakenya wanalalamika eti cc watz hatusikilizi mziki wao, sasa hebu tujiulize hivi mm na ndevu zangu hizi nikae nasikiliza mziki wa Kenya kweli!!!!!!!!! Si kwa ubaya ila watanisamehe, siwezi Kwakweli japo nmejaribu mara nyingi tangu nikiwa kijana mdogo lkn nmeshindwa











Magufuli was right in everything, hajawahi kukosea yule mzee yn kwakifupi Magu hakupaswa kuzaliwa EA.Jiwe pamoja na mapungufu yake kaonesha nothing impossible. Hata baba wa atom (proton, electron and neutron ) bwana dalton alikosea lakini bado ndio chanzo cha uthubutu mpaka sasa anaheshimika. Jiwe kathubutu sana vilevile yeye ni binadamu "hakuna mkamilifu".
Pia bwana Galileo walimuua kwa kusema dunia ndio inazunguka jua. Mwisho wa siku waliprove Galileo alikua sahihi
Same applied kwa jiwe, generation zijazo wataona alikua sahihi sehemu nyingi, kama approach aliyochukua kwenye kudeal na covid. Sasa dunia nzima ipo kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kusikiliza mziki wa Kenya haunivutii.Kwanza pekejeng ndo nn?
Hii kitu sijui maana yake ila imenichekesha sana
Kwanza pekejeng ndo nn?
Hii kitu sijui maana yake ila imenichekesha sana 🤣
Hilo ni jengo la muda, design is not a big deal,Mambo ya Jiwe hayo, design and build, force account. Airport terminal ikawekewa vibanda vimezunguka utadhani stendi ya daladala.
Toka amekuja mwanza ni porojo, na hili suala la airport yeye analikuza, lilikuwa limeisha, anajifanya financial advisor.Huyu nae michoshoo asaa kila siku anashangaa nini si afanye Mabadiliko tuone, anakeraa🤮🤮
Nakumbuka alipokuwa Mbunge alitoa kauli kuwa vyombo vya Mengi inafanya coverage yake kuliko mambo ya kitaifa..! 🤣 🤣 Mangi akarukwa akili akaenda Dodoma kutoa utetezi!Toka amekuja mwanza ni porojo, na hili suala la airport yeye analikuza, lilikuwa limeisha, anajifanya financial advisor.
Kuna mtu wa TAA alimchoma kwa Mbarawa aliitisha kikao akafoka balaa
Punguzeni aibu, TPA is a bunch of jokers.wapi gantry ya Lamu port inayopitisha kondoo sasa? hebu leta evidence nchi nzima ziko tatu pekee? Tanga gantry is on the way too to serve EACOP cargo!
Punguzeni aibu, TPA is a bunch of jokers.
Ila we mdogo wangu bhana sometimes unanihuzunisha sana, nyie mko busy kumtukana Samia, tena matusi kabisa. Sisi tukikosoa mapungufu ya JPM mnasema hatuna heshima? Heshima ni nini? Mind you ukiwa kiongozi immunity yako ya kusemwa inakufa, utasemwa ukiwa hai utasemwa ukifa sababu maamuzi yako yameacha athari kwenye maisha ya watu. So sitaacha kumsema JPM au yoyote akionesha mapungufu, ambacho sitafanya ni kuwatukana na kuwakosea adabu.Kwnn waafrika hatuna heshima.
wapi gantry crane ya lamu port?