Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

civito luxury
317081625_573838041417476_2137259073422127985_n.jpg


320551774_3271686556428951_648172119135548533_n.jpg


311735000_542028571265090_5147081683127850787_n.jpg
 
Leta video yenye ushahidi kwamba AVA wanafanya assembling ya mabasi.

Kama vile inavyoonekana Kwa Hans akirefusha chassis za land cruiser na TDI. Leta tuone akiunganisha buses... AVA hamfikii hata Machame safari Kwa kutengeneza body za gari.. Bado Kilimanjaro nae anatengeneza zake..

Kampuni ya kenya iliyokuwa ina unda body za mabasi Kwa kuzileta Bongo ni Andare tu.

Leta video yenye ushahidi kwamba AVA wanafanya assembling ya mabasi.

Kama vile inavyoonekana Kwa Hans akirefusha chassis za land cruiser na TDI. Leta tuone akiunganisha buses... AVA hamfikii hata Machame safari Kwa kutengeneza body za gari.. Bado Kilimanjaro nae anatengeneza zake..

Kampuni ya kenya iliyokuwa ina unda body za mabasi Kwa kuzileta Bongo ni Andare tu.
Kenya sio level yenu.



 
Watu wa Kisumu wameamua wanatoroka Nairobi wote. This is at the Ahero interchange which is currently under construction.

Government need to expand this road to around six lanes from Nairobi to Malabar.

View attachment 2455981
Ahero inajengwa hapo toka mwaka gani ina miaka 4 na kitu sasa munajenga kitu gani 🤣🤣🤣🤣
 
Ahero inajengwa hapo toka mwaka gani ina miaka 4 na kitu sasa munajenga kitu gani 🤣🤣🤣🤣
Ningekujibu lakini sieziboshana na mwenye anatoka nchi Iko na interchanges mbili nchi mzima😂😂
 
Hii port ikona STS Ganty crane moja pekee, ngoja rail mounted gantry cranes za Lamu zifike hii ujinga ya kucompare lamu na hizi fishing port za bongo utawacha.
Zifike? Lini? Au unafikiri Mtwara itabaki na Gantry crane moja? FYI na za Mtwara nyingine zaja!

So far Mtwara port 1:0 Lamu port!
Mtwara port receives more cargo ships than Lamu port!
 
Leta video yenye ushahidi kwamba AVA wanafanya assembling ya mabasi.

Kama vile inavyoonekana Kwa Hans akirefusha chassis za land cruiser na TDI. Leta tuone akiunganisha buses... AVA hamfikii hata Machame safari Kwa kutengeneza body za gari.. Bado Kilimanjaro nae anatengeneza zake..

Kampuni ya kenya iliyokuwa ina unda body za mabasi Kwa kuzileta Bongo ni Andare tu.
Wewe nikama hujui AVA, punguza kuropokwa. AVA is the biggest assembler wa magari in this region of Africa.



 
Back
Top Bottom