Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa nataka wakenya tuanze kuongelea issue za huduma za Afya. Hizi ni statistcs halali za Tanzania. Tuongelee issue ya Hospital. Kwa mujbu wa statistics halali zipo Hosipital 676 Tanzania , Vituo vya Afya 1,466 na Zahanati 7,965

Nawataka wakenya mje na facts.

1671724946351.png
 
Huyo kwa my estimation based on his reasoning, he is below average, hajafika bado, he is playing PR, struggling to put his best foot forward..,
Midomo mipana mfukoni hamna kitu, kama hii mitandao ingekuwa inaonesha reality ya mtu Wakenya wengi msingekuwepo humu I swear.
 
We were banned mka shine.., sasa we are back, kiboko ni ile ile., wacha hadithi mingi, ngoja tupatane kisha uje uzungumze, hizi empty domo domo zako na wishful thinking wacha kabisa, koma mjukuu.., ngoja reality check.,
Mpira unahitaji uwekezaji, mpira unahitaji pesa sio maneno matupu.
 
Back
Top Bottom