The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Old school ufananishe na modern CamerasCamera pekee ndio inakutia kiwewe? An ordinary camera that even village stations have?
![]()












Old school ufananishe na modern CamerasCamera pekee ndio inakutia kiwewe? An ordinary camera that even village stations have?
![]()












NishamjuaNi kilaza mmoja hivi majuzi baba yake alihamaki baada ya kuulizwa sababu ya umeme kukatika.










Maneno 10 ya mkenya usichukue hata moja, kumbe tv yao haina uwezo hata wa kuonesha mpira live ndio waje walinganishe na Azam kweli??
Haipo hiyo huku hatuijui kabisa amini nakwambia, mm nmeijua mwaka jana nilikuwa nikiona ile logo nilikuwa sijui kama ni tv.Btw, Watanzania wengi Sana hutazama Citizen TV. Hutopata Mkenya akitazama Azam TV.
Hapo kwenye kuumiza macho ndipo Azam na Dstv inapozipiga bao tv nyingi za kiafrika.Watu wanarusha live coverage katika vituo vaidi ya 8, na wanafanya hivyo nchi zaidi ya tano and in high definition!
Unataka kufananisha na kichaneli hata HD hawana. Rangi vimekolea mpaka zinaumiza macho.
Nilitaka niseme hivi mkuuHahaha, Azam ni Kama maji, usipoyanywa, utalazimika kuyatumia kwa njia yoyote Ile, huwezi kuyahepuka
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app











Huyu kaamua kujipa jina la msanii wa Tz kabisa kuonesha namna gani Tz inambamba, YoungD ni kifupi cha jina la msanii wa Tz anaitwa Young Dar es salaam kifupi chake ndio YoungD.
Ni dogo mmoja hiv kitaan, anaitwa David.. so nadhan YoungDee ni Young David 😀Huyu kaamua kujipa jina la msanii wa Tz kabisa kuonesha namna gani Tz inambamba, YoungD ni kifupi cha jina la msanii wa Tz anaitwa Young Dar es salaam kifupi chake ndio YoungD.
Kwenye sekta ya Habari usijaribu kabisa! Waandishi wenu ndo the most incompetent Africa mzima. They are only good at reporting lies and fake news. Kila mtu anajua.
Au kwa hiko kingereza chenu broken ndo mnajiona mko juu.
Bila ya Aga khan bado mngekiwa kwenye redio mbao nyie!
Azam TV. Kama kuna kitu kinafika hata robo ya hii kitu huko kwenu ndo uongee na mimi!
mna kichaa nyie, siwezi jihusisha na chochote cha tanzagiza,Huyu kaamua kujipa jina la msanii wa Tz kabisa kuonesha namna gani Tz inambamba, YoungD ni kifupi cha jina la msanii wa Tz anaitwa Young Dar es salaam kifupi chake ndio YoungD.
At the moment you are a fool.mna kichaa nyie, siwezi jihusisha na chochote cha tanzagiza,
so says a person born foolish and in tanzagiza! "man this life no balance"At the moment you are a fool.
99.8% of Kenyans are unable to use their brains.so says a person born foolish and in tanzagiza! "man this life no balance"





