Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jibambe dogo. Sina huo muda. Wacha nijitayarishe kusherehekea Krismasi. Adios muchachos.🙌
Umeshindwa kuleta Link. Jipige kufua na useme Kenya ni wajinga

Ona mambo haya
1671693383285.png
 
So umekubali Citizen Tv is way bigger than Azam Tv?😂😂🤣😂 Alafu nani anajua Azam Tv nje ya Tanzania?
Citizen ana decoder kama azam hvi nyinyi munaeza linganisha chakula na mikojo serious, azam yuko mbali sana azam ame dominate karibu nchi 9 mzeee🤣🤣🤣 tena kenya ndio wakwanza kuisifu azam TV
 
Citizen ana decoder kama azam hvi nyinyi munaeza linganisha chakula na mikojo serious, azam yuko mbali sana azam ame dominate karibu nchi 9 mzeee🤣🤣🤣 tena kenya ndio wakwanza kuisifu azam TV
Kama unaongelea decoder basi ZUKU imeshinda Azam mbali sana.
 
Back
Top Bottom