Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Google streetview

Screenshot 2022-06-23 205451.jpg
 
screenshot_20221220-210631_twitter-jpg.2453330


Ghana huko kinawaka, nchi imefilisika kwa madeni. Hello Kenya!
You see the problem with Tanzanians? They worry about Kenya so much they forget about themselves. Ndio maana mlidanganywa na Magufuli ooh hamna madeni ooh mnajenga kwa hela zenu hadi sahii mmeanza kumchukia Mama kwa kuwaambia ukweli.
 
Msikilize huyu mama kama yuko timamu kichwani!

Wewe ndio akili huna ,kwamba Hadi Leo hii hujui maana ya PPP? Kwani toll roads alizosema Mbarawa unadhani Ni Nini hasa? Kitakachofanyika kule kwenye Barabara na reli itakuwa hivyo.

Hii Ni njia nzuri itapunguza mzigo kwa Serikali hasa Burundi ambao hawana Pesa za kujenga sgr.
 
You see the problem with Tanzanians? They worry about Kenya so much they forget about themselves. Ndio maana mlidanganywa na Magufuli ooh hamna madeni ooh mnajenga kwa hela zenu hadi sahii mmeanza kumchukia Mama kwa kuwaambia ukweli.
Hivi mrehemu aliwahi kukuibia bibi yako, mbona unapenda kumtaja taja sana?
 
Na mbona huwa hatuambiwi pesa zilizokopwa kwa ajili ya sgr?
Zingine zote tunaambiwa, mfano za uviko 19 tuliambiwa na wakajenga madarasa
Statement ya WB Ulisema wapi kwamba Pesa inaenda kujenga madarasa? Maelezo yalikuwa Ni kusaidia sekta ya Afya,ku mitigate effects za korona na kusaidia forex reserves.

Mfano hii mkopo unaona haya maelezo yake yalivyo? 👇
Screenshot_20221222-090533.png
 
Back
Top Bottom