The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Ndio umeongea uharo gn sasa apaNimesema ni ya Mwarabu, sijasema ni kubwa kuliko Citizen. Kuelewa kwako ndio shida. Hapo Tz mmejaa ukabila ni kuficha mnaficha otherwise Waarabu na Wahindi hawangekuwa wanammiliki jinsi wanavyommiliki.


