Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimesema ni ya Mwarabu, sijasema ni kubwa kuliko Citizen. Kuelewa kwako ndio shida. Hapo Tz mmejaa ukabila ni kuficha mnaficha otherwise Waarabu na Wahindi hawangekuwa wanammiliki jinsi wanavyommiliki.
Ndio umeongea uharo gn sasa apa
 
Nimekuliza kama basi ni modern technology in broadcasting? Wewe unascreenshot vitu tunajua already😂😂😂
Ona nawe nimekuambia onesha hizo technology za Citizen TV 😀 😀 😀
How Citizen ni kubwa hapa EA mbona hakuna taarifa hizo. Citizen ni kubwa hapo kenya tu.

Unaona hizi camera za football live. Hapo kenya mnaweza?

1671692007276.png
 
Onesha hizo mzee mbona maneno tu. Kwani satelite zinawekwa mfukoni?

Azam Tv wana uwezo wa kuonesha matukio live nane tofauti tofauti kwa wakati mmoja kukiwa na maana kila channel inachukua tukio Kwenye source yake yenyewe sio channel nane zichukue Kwenye source moja.
Atuambie hiyo kienyeji yao inaweza kufanya hivo?

Answer with evidence.
 
Back
Top Bottom