Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Google neno "Anchor economy in East Africa" utapata jibu kutoka kwa bodies tofauti..., ata Kenya yenyewe haijitaji kama anchor economy, dunia inajua, liko wazi sana. mifukara wacheni kelele, kueni wapole, pengine vitukuu vyenu vitashuhudia Tz kufikia kuitwa "anchor economy".., idiots liked your post😝 😝 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2432593

Westerners are known for propaganda. Kenya is rated highly in all western media and western rating agencies due to capitalism as opposed to socialist state, Tanzania.

Irrespective of what is propagated by westerners, facts are in the full view of everyone.

Dear consumers of Chameleon soup and Potatoes,

When you don't have food, you have nothing.

 
Kwanini unapenda sana kuwaabudu SAns?
kuwashinda nyinyi..!🤔
eti mandugu zetu wa30..

na xenophobia ikijiri huko ata ssahivi..
nyie ndo wakwanza kufirushwa 🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️

🤣🤣🤣🤣
 
Google neno "Anchor economy in East Africa" utapata jibu kutoka kwa bodies tofauti..., ata Kenya yenyewe haijitaji kama anchor economy, dunia inajua, liko wazi sana. mifukara wacheni kelele, kueni wapole, pengine vitukuu vyenu vitashuhudia Tz kufikia kuitwa "anchor economy".., idiots liked your post😝 😝 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2432593
ata tayari nimekwisha gugo bro.
habari yote hii hapa

Screenshot_20221201-203056_Chrome.jpg
Screenshot_20221201-203333_Chrome.jpg
 
Sinaga huo ujinga na Mimi kazi yangu Ni kuwakera haters wa SSH,mtaita kila jina Ila sijawahi toka kwenye reli..

PhD ya heshima ameipata kutokana na mchango wake mzuri kwenye Uchumi na diplomasia.

Ukitaka sawa,ukinuna sawa none of my business
Takataka ya chooni
 

Unasema Ulaya hawapindishi maneno? Du! Angalia hapo chini bosi wao Ursula anavyopindisha maneno katika video alizozitoa jana.

Kwenye original video (kushoto) aliongelea jinsi Ukraine ilivyopoteza zaidi ya wanajeshi 100,000 vitani. Sasa baada ya kugundua amekiri hadharani ukweli ambao ulitakiwa kuwa siri (the narrative is, Ukraine is winning), akaifuta hiyo video (kushoto) na kuiweka video ya upande wa kulia. Udenda ukiwa unamtoka kutaka kuiba 300billion Euros za warusi, akajisahau kuwa hakutakiwa kukiri hadharani kuwa Waukraine wengi wamekufa.

Mkuu, kuhusu chakula, Urusi imetoa shutuma kwamba chakula kilipelekwa nchi za Ulaya, lakini Ukraine ikakanusha, vipi umeamua kuamini upande mmoja bila hata kupata ushahidi?.

Kuhusu hili swala la Wazungu kutumia njia za janjajanja, hapo umechanganya na haya maelezo uliyoweka haya uhusiano na tunalozungumza.

Tunachozungumza ni kuhusu nchi za Ulaya kutumia mgogo wa nchi za Africa kupata chakula toka Ukraine, nimekuambia hiyo sio kweli, kwasababu Europe wanategemea gesi ya Urusi kwa 45%, lakini kwa kipindi chote tangu vita kuanza, wamekuwa wakisema na kupanga mikakati ya kuachana na gesi ya Urusi, hivi Sasa wanakaribia kabisa kuacha kutegemea hiyo gesi, vipi washindwe kuagiza chakula toka mataifa mengine wakati nchi nyingi duniani zinalima na kuzalisha hizo chakula badala yake eti watumie ujanja?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, kuhusu chakula, Urusi imetoa shutuma kwamba chakula kilipelekwa nchi za Ulaya, lakini Ukraine ikakanusha, vipi umeamua kuamini upande mmoja bila hata kupata ushahidi?.
Majuzi tuu Ukraine na vyombo vyote vya magharibi vilisema Urusi imedondosha kombora Poland. Hata Biden aliposema hakuna ushahidi kuwa kombora limetoka Urusi, Ukraine bado waliendela kudanganya. Picha zilizopigwa na mkulima wa Poland zilionesha mabaki ya kombora hilo ni la Ukraine, lakini bado Zelensky aliendelea kuudanganya ulimwengu. Utawaamini vipi watu kama hawa?

Kuna mengi sana ya uongo yanasemwa na Ukraine, mfano wao kupiga kituo cha umeme cha Zaporozhia na kusingizia warusi, wakati warusi wamekuwa wakikimiliki toka machi 2022. Sasa unajiuliza kuna sababu gani ya warusi kushambulia kituo wanachokimiliki ?
Kuhusu hili swala la Wazungu kutumia njia za janjajanja, hapo umechanganya na haya maelezo uliyoweka haya uhusiano na tunalozungumza.
Hapo sijakuelewa, unaongelea nini?
Tunachozungumza ni kuhusu nchi za Ulaya kutumia mgogo wa nchi za Africa kupata chakula toka Ukraine, nimekuambia hiyo sio kweli, kwasababu Europe wanategemea gesi ya Urusi kwa 45%, lakini kwa kipindi chote tangu vita kuanza, wamekuwa wakisema na kupanga mikakati ya kuachana na gesi ya Urusi, hivi Sasa wanakaribia kabisa kuacha kutegemea hiyo gesi, vipi washindwe kuagiza chakula toka mataifa mengine wakati nchi nyingi duniani zinalima na kuzalisha hizo chakula badala yake eti watumie ujanja?
Ulaya wanakaribia kuacha kutegemea gesi ya Urusi? Aisee, sidhani hata unauelewa mzuri wa kinachoendelea.

Kwa taarifa yako Ulaya bado inanunua mafuta na gesi ya Urusi (LNG) kupitia mataifa mengine kwa gharama kubwa zaidi. China, India na Turkey wanafanya arbitrage, wananunua gesi ya Urusi na kuiuza kama LNG Ulaya kwa gharama kubwa. Gharama zinapanda kutokana na kuongezeka kwa hatua za kuchakata, kuhifadhi na kusafirisha liquified natural gas.

Ulaya sasa hivi viwanda vingi vinafungwa kwa kukosa gesi nafuu ya Urusi, unaweza kusearch "deindustrialization of Europe" ili ujiellmishe kidogo.

Ulaya imekuwa ikilalamika kuuziwa LNG na Marekani mara nne ya bei halisi, gharama zote hizi unafikiri nani atazilipa? Makampuni ya Ulaya yataweza vipi kumudu gharama kubwa za uzalishaji huku wakishindana na China? Ufahamu wako wa uchumi unaowaburuza wakenya kila siku hapa umeuweka mfukoni?
 
Mnajenga cities on what economic base? Au mnagonjea loans za France waje wawajengee railway city? This is beyond pathetic. Only 9% of Kenyans are in permanent employment the rest ate hustlers cannot afford decent accommodation sasa sijui hizo nyumba na majengo yatakuwa occupied na nani. Kenyan real estate sasa hivi imeshuka sana baada ya experts wengi kuondoka.

Wekezeni kwenye vitu vya kulift majority of Kenyans out of abject poverty kwanza hayo ya cities yatakuja yenyewe tuu huko mbele.

Mfano inueni kilimo ili watu wasife na njaa maana mnapoteza nguvu kazi nyingi tuu kwa njaa.
Buffoon as usual.., and we top you in all fronts.., u have no idea what u are responding to, uliandika ili mradi tu., idiocy on steroids.,
 
Back
Top Bottom