Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie Wakenya tuna waambia daily kuwa nyie ni maskini wa kila kitu. anaitwa: Husina Seleman

1669831122228.png


1669831167098.png


1669831208392.png
 
Huo ni mtazamo wako tuu kuhusu JPM, ila sisi tuliona hakuwa mchoyo, alikuwa anafungua madirisha ili nasi angalau tuweze kuangalia "kideo", jinsi nchi inavyoliwa.

Wangapi walikuwa wanajua kuhusu wizi wa mafuta kwa kuharibiwa flow meter bandarini au jinsi madini yanavyotoroshwa uwanja wa ndege? Sasa hivi unajua kinachoendelea kwenye sekta ya nishati, au kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
Huo ni mtazamo wako tuu kuhusu JPM, ila sisi tuliona hakuwa mchoyo, alikuwa anafungua madirisha ili nasi angalau tuweze kuangalia "kideo", jinsi nchi inavyoliwa.

Wangapi walikuwa wanajua kuhusu wizi wa mafuta kwa kuharibiwa flow meter bandarini au jinsi madini yanavyotoroshwa uwanja wa ndege? Sasa hivi unajua kinachoendelea kwenye sekta ya nishati, au kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
Dhahabu imekamatwa lndia huku kwetu kimya, na imetokea kwetu
 
Ukraine ni nchi corrupt kuliko zote Ulaya, hivyo imekuwa ikitumika kama kijiwe cha kufanya madili (kuuza silaha, kutakatisha pesa, kuiba nafaka n.k). Kutokana na vikwazo umoja wa Ulaya walioiwekea Urusi, kumekuwa na mtafaruku kwenye njia zote za kiuchumi (Ulaya), ikiwa ni pamoja na uzalishaji/usafirishaji wa chakula.

Ulaya inahitaji sana nafaka ya Ukraine, hivyo inatumika gia ya kusaidia nchi za Afrika ili nafaka hiyo iweze ruhusiwa kupita (kwenye njia salama vitani) katika bahari nyeusi, kwenda Ulaya. Mwezi septemba walitumia gia hiyo hiyo kuomba kuruhusiwa kupeleka nafaka kwenye nchi maskini lakini karibu mzigo wote uliiishia Ulaya.
Mkuu tunaomba ushahidi katika hili, kwamba nafaka ya Ukraine iliyokusudiwa kuja Afrika ilipelekwa Ulaya. Kama Europe pamoja na kutegemea gesi ya Urusi lakini hawapindishi maneno wanapambana na Urusi jino kwa jino, vipi kuhusu nafaka ya Ukraine watumie janja janja?


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza huyu jamaa ukimuangalia vzr ana kaushoga flani hv we muangalie vzr kuna picha zake alipost humu, pia Bwana Mapesa naye ukimuangalia vzr naye pia anapumuliwa kisogoni.
Mwanaume yoyote anayetafuta affirmation Kwa Kuwaita wenzake mashoga Mara nyingi yeye ndiye shoga.

Si kila mtu unayemtazama na kumuona ana feminine character ni shoga. Human sexuality is not that easy to discern. Kuna wanaume wanaojiita “alpha males” lakini ni homosexuals in secret.

Wewe una-speculate mashoga kama njia ya kejeli, lakini maisha ya mtu sio kejeli. Honestly, sielewi ni nini walichowakosea kustahili kuchukiwa namna hii. Huwezi tu kuamka asubuhi na kumchukia mtu ambaye hajakukosea Kwa lolote. Anaishi maisha yake lakini Wewe unaona uingilie Kati na kumuaibisha. Mnasema dini inakataza, lakini dini pia inahasa upendo Kwa jirani zako na kupinga chuki. Sasa sifahamu ni Mungu yupi mnayetaka kumu-impress na chuki zenu.

#Bigotry
 
Misosi tunayopiga huku kwa mama ntilie. Tz ni Eden.View attachment 2432014View attachment 2432015
wee nenda kwa mama ntilie, acha mimi nijiandalie chakula changu ndani ya nyumba yangu nikiwa pekeyangu, ama niandaliwe na bibi yangu akuzuru kunitembelea ama nikienda eldoret kumtembelea...
wee bambana na hali yako.. wacha pia nami niji sought huku kiviyangu...

nb:
Everybody for himself.... God for us all...
 
Mkuu tunaomba ushahidi katika hili, kwamba nafaka ya Ukraine iliyokusudiwa kuja Afrika ilipelekwa Ulaya.
Kama Europe pamoja na kutegemea gesi ya Urusi lakini hawapindishi maneno wanapambana na Urusi jino kwa jino, vipi kuhusu nafaka ya Ukraine watumie janja janja?
Unasema Ulaya hawapindishi maneno? Du! Angalia hapo chini bosi wao Ursula anavyopindisha maneno katika video alizozitoa jana.

Kwenye original video (kushoto) aliongelea jinsi Ukraine ilivyopoteza zaidi ya wanajeshi 100,000 vitani. Sasa baada ya kugundua amekiri hadharani ukweli ambao ulitakiwa kuwa siri (the narrative is, Ukraine is winning), akaifuta hiyo video (kushoto) na kuiweka video ya upande wa kulia. Udenda ukiwa unamtoka kutaka kuiba 300billion Euros za warusi, akajisahau kuwa hakutakiwa kukiri hadharani kuwa Waukraine wengi wamekufa.

 
Mwanaume yoyote anayetafuta affirmation Kwa Kuwaita wenzake mashoga Mara nyingi yeye ndiye shoga.

Si kila mtu unayemtazama na kumuona ana feminine character ni shoga. Human sexuality is not that easy to discern. Kuna wanaume wanaojiita “alpha males” lakini ni homosexuals in secret.

Wewe una-speculate mashoga kama njia ya kejeli, lakini maisha ya mtu sio kejeli. Honestly, sielewi ni nini walichowakosea kustahili kuchukiwa namna hii. Huwezi tu kuamka asubuhi na kumchukia mtu ambaye hajakukosea Kwa lolote. Anaishi maisha yake lakini Wewe unaona uingilie Kati na kumuaibisha. Mnasema dini inakataza, lakini dini pia inahasa upendo Kwa jirani zako na kupinga chuki. Sasa sifahamu ni Mungu yupi mnayetaka kumu-impress na chuki zenu.

#Bigotry
Mtu anamuita mwanaume mwenzake Bae unataka tumuiteje mtu huyo? alafu punguza double standard, hao unaowatetea huoni chuki zao juu ya Watz? Nani aliyeanza kumchukia mwenzake kati ya Wakenya na Watz? Alafu kwanza wewe huo wema umeuanza lini, sio wewe ulikuwa unaongoza mashambulizi kuwatusi hao unaowaona ni innocent leo?

Wewe kama uligeuka nchi yako kisa tu ulielezwa ukweli na ukashindwa ku move on basi baki hivyo hivyo na usitake kujivika u saint ambao huna.
 
Mtu anamuita mwanaume mwenzake Bae unataka tumuiteje mtu huyo? alafu punguza double standard, hao unaowatetea huoni chuki zao juu ya Watz? Nani aliyeanza kumchukia mwenzake kati ya Wakenya na Watz? Alafu kwanza wewe huo wema umeuanza lini, sio wewe ulikuwa unaongoza mashambulizi kuwatusi hao unaowaona ni innocent leo?

Wewe kama uligeuka nchi yako kisa tu ulielezwa ukweli na ukashindwa ku move on basi baki hivyo hivyo na usitake kujivika u saint ambao huna.
Kwa hiyo shida yako ni jinsi anavyo-address watu? Kwa hiyo watu wanaozungumza Kwa namna fulani wote ni mashoga? Kama nilivyosema mwanzo, sexuality ya mtu ni yake na kila mtu anajifahamu mwenyewe. Hizi generalizations zako hazina mantiki na hazina mashiko. Unamuita Shoga kwasababu kwenye jamii nyingi za Kiafrika mashoga ni watu wanaodharauliwa na wanaopuuzwa na kutengwa kwasababu wako tofauti na jinsi jamii ilivyozoea.

And by the way, I have never claimed to be a saint. As a matter of fact, I have spoken against saints many times before. Sijawahi kuongea vibaya against marginalized groups. Kama vendettas na baadhi ya Wakenya Mbona nilikuwa nazo nyingi tu, lakini niliona hakuna haja ya kubishana na wakenya huku mentality ya watanzania wenzangu ndiyo Ina tatizo.

Lakini sijalenga watanzania kwenye reply yangu. Na hakuna sehemu nimeandika “watanzania.” Na sijatetea wakenya pia. Nimetetea UTU WA MTU, bila kujali nationality.
 
Mwanza wamepata masterplan nzuri sana ya waterfront yao, Mwanza wanaungwa na SGR hivi karibuni wanatakiwa wachukue hiyo fursa haraka sababu watakuwapo watu watakojisikia tu kupanda SGR kuelekea Mwanza for leasure, Mwanza wajipange na hili sababu utalii utakua mkubwa sana kutokana na urahisi wa usafiri

Nimependa waterfront yao itazingatia sana utalii wa vyakula kama mapishi ya Sato na Sangara kama Forodhan Zanzibar na michezo ya kwenye maji ikiwemo kutengeneza fukwe kubwa ya hectares 9

 
Back
Top Bottom