Tanzania ndio anchor economy in EA kama vile Germany ilivyo kwa Eurozone.Kinachonishangaza ni speed walionayo ya kukopa wakati hawana vyanzo vipya ya mapato
Magufuli alishawanyang'anya SGR na EACOP
Lapsset ni mfu tayari dah mpaka huruma!
Tanzania ndio anchor economy in EA kama vile Germany ilivyo kwa Eurozone.Kinachonishangaza ni speed walionayo ya kukopa wakati hawana vyanzo vipya ya mapato
Magufuli alishawanyang'anya SGR na EACOP
Lapsset ni mfu tayari dah mpaka huruma!
Huo ni mtazamo wako tuu kuhusu JPM, ila sisi tuliona hakuwa mchoyo, alikuwa anafungua madirisha ili nasi angalau tuweze kuangalia "kideo", jinsi nchi inavyoliwa.
Wangapi walikuwa wanajua kuhusu wizi wa mafuta kwa kuharibiwa flow meter bandarini au jinsi madini yanavyotoroshwa uwanja wa ndege? Sasa hivi unajua kinachoendelea kwenye sekta ya nishati, au kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
Dhahabu imekamatwa lndia huku kwetu kimya, na imetokea kwetuHuo ni mtazamo wako tuu kuhusu JPM, ila sisi tuliona hakuwa mchoyo, alikuwa anafungua madirisha ili nasi angalau tuweze kuangalia "kideo", jinsi nchi inavyoliwa.
Wangapi walikuwa wanajua kuhusu wizi wa mafuta kwa kuharibiwa flow meter bandarini au jinsi madini yanavyotoroshwa uwanja wa ndege? Sasa hivi unajua kinachoendelea kwenye sekta ya nishati, au kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
🙃
Pale unapogundua utakuwa waziri kwa miaka yote mitatu awamu hii
Mkuu tunaomba ushahidi katika hili, kwamba nafaka ya Ukraine iliyokusudiwa kuja Afrika ilipelekwa Ulaya. Kama Europe pamoja na kutegemea gesi ya Urusi lakini hawapindishi maneno wanapambana na Urusi jino kwa jino, vipi kuhusu nafaka ya Ukraine watumie janja janja?Ukraine ni nchi corrupt kuliko zote Ulaya, hivyo imekuwa ikitumika kama kijiwe cha kufanya madili (kuuza silaha, kutakatisha pesa, kuiba nafaka n.k). Kutokana na vikwazo umoja wa Ulaya walioiwekea Urusi, kumekuwa na mtafaruku kwenye njia zote za kiuchumi (Ulaya), ikiwa ni pamoja na uzalishaji/usafirishaji wa chakula.
Ulaya inahitaji sana nafaka ya Ukraine, hivyo inatumika gia ya kusaidia nchi za Afrika ili nafaka hiyo iweze ruhusiwa kupita (kwenye njia salama vitani) katika bahari nyeusi, kwenda Ulaya. Mwezi septemba walitumia gia hiyo hiyo kuomba kuruhusiwa kupeleka nafaka kwenye nchi maskini lakini karibu mzigo wote uliiishia Ulaya.
Sijaelewa swali, tafadhali fafanua swali na lengo la swali lakojoto la jiwe ebu leta kile kiherehere chako hapa kidogo.
What's the best way of treating human waste (to be used as fertilizer) without use of chemical? Anybody else with the knowledge can contribute.
Hao UAE wanaowapa Kenya msaada wa chakula kila mwaka nao wanajenga nini Kenya?Fuatilia mambo kwa kina kijana. Wachina wanamaslah mapana na Kenya, wanajenga miundombinu bomu kwa bei ya juu sana. Lazima wapalilie sham lao.
Mwanaume yoyote anayetafuta affirmation Kwa Kuwaita wenzake mashoga Mara nyingi yeye ndiye shoga.Kwanza huyu jamaa ukimuangalia vzr ana kaushoga flani hv we muangalie vzr kuna picha zake alipost humu, pia Bwana Mapesa naye ukimuangalia vzr naye pia anapumuliwa kisogoni.
wee nenda kwa mama ntilie, acha mimi nijiandalie chakula changu ndani ya nyumba yangu nikiwa pekeyangu, ama niandaliwe na bibi yangu akuzuru kunitembelea ama nikienda eldoret kumtembelea...Misosi tunayopiga huku kwa mama ntilie. Tz ni Eden.View attachment 2432014View attachment 2432015
Mkuu tunaomba ushahidi katika hili, kwamba nafaka ya Ukraine iliyokusudiwa kuja Afrika ilipelekwa Ulaya.
Unasema Ulaya hawapindishi maneno? Du! Angalia hapo chini bosi wao Ursula anavyopindisha maneno katika video alizozitoa jana.Kama Europe pamoja na kutegemea gesi ya Urusi lakini hawapindishi maneno wanapambana na Urusi jino kwa jino, vipi kuhusu nafaka ya Ukraine watumie janja janja?
Mtu anamuita mwanaume mwenzake Bae unataka tumuiteje mtu huyo? alafu punguza double standard, hao unaowatetea huoni chuki zao juu ya Watz? Nani aliyeanza kumchukia mwenzake kati ya Wakenya na Watz? Alafu kwanza wewe huo wema umeuanza lini, sio wewe ulikuwa unaongoza mashambulizi kuwatusi hao unaowaona ni innocent leo?Mwanaume yoyote anayetafuta affirmation Kwa Kuwaita wenzake mashoga Mara nyingi yeye ndiye shoga.
Si kila mtu unayemtazama na kumuona ana feminine character ni shoga. Human sexuality is not that easy to discern. Kuna wanaume wanaojiita “alpha males” lakini ni homosexuals in secret.
Wewe una-speculate mashoga kama njia ya kejeli, lakini maisha ya mtu sio kejeli. Honestly, sielewi ni nini walichowakosea kustahili kuchukiwa namna hii. Huwezi tu kuamka asubuhi na kumchukia mtu ambaye hajakukosea Kwa lolote. Anaishi maisha yake lakini Wewe unaona uingilie Kati na kumuaibisha. Mnasema dini inakataza, lakini dini pia inahasa upendo Kwa jirani zako na kupinga chuki. Sasa sifahamu ni Mungu yupi mnayetaka kumu-impress na chuki zenu.
#Bigotry
Germany is the biggest economy in Europe, is Tanzania the biggest in EA?🤣🤣🤣Tanzania ndio anchor economy in EA kama vile Germany ilivyo kwa Eurozone.
Kwa hiyo shida yako ni jinsi anavyo-address watu? Kwa hiyo watu wanaozungumza Kwa namna fulani wote ni mashoga? Kama nilivyosema mwanzo, sexuality ya mtu ni yake na kila mtu anajifahamu mwenyewe. Hizi generalizations zako hazina mantiki na hazina mashiko. Unamuita Shoga kwasababu kwenye jamii nyingi za Kiafrika mashoga ni watu wanaodharauliwa na wanaopuuzwa na kutengwa kwasababu wako tofauti na jinsi jamii ilivyozoea.Mtu anamuita mwanaume mwenzake Bae unataka tumuiteje mtu huyo? alafu punguza double standard, hao unaowatetea huoni chuki zao juu ya Watz? Nani aliyeanza kumchukia mwenzake kati ya Wakenya na Watz? Alafu kwanza wewe huo wema umeuanza lini, sio wewe ulikuwa unaongoza mashambulizi kuwatusi hao unaowaona ni innocent leo?
Wewe kama uligeuka nchi yako kisa tu ulielezwa ukweli na ukashindwa ku move on basi baki hivyo hivyo na usitake kujivika u saint ambao huna.
tumepigwa!! halafu mbona halina supporting pillar katikati? Litapinda na litasombwa na maji kirahisi!Daraja la bilioni saba
View attachment 2431734
Achana tu nayo.Sijaelewa swali, tafadhali fafanua swali na lengo la swali lako
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Anchor economy with a GDP of $60B?😂😂Tanzania ndio anchor economy in EA kama vile Germany ilivyo kwa Eurozone.