Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Finally ..Body typpe marcopolo zimeanza kutengenezwa Kenya..Buy Kenya Build Kenya..
1669977111373.png

 
Nimesoma comments humu, naona watu wanauliza kwa viwanja vip vilivyopo kenya na uganda..
I think there is a big potential for football development in Tanzania or Tanzania to become a football powerhouse for many years in EA



Mpaka sasa sisi ndio powerhouse. Mimi siafiki kuhost hili kombe jointly na nchi hizi hata kidogo kwa kweli. Kila mtu afanye yake.
 
Acha kuruka vihunzi sasa, mwanzo ulitaka tuwaamini Ukraine, sasa unabadilisha kusema Ulaya na Marekani.

Unayafahamu makubaliano ya Minsk lakini na unaelewa kilichokuwa kinaendelea Donbas toka 2014?

View attachment 2433305


Gharama ya LNG inatokana na mlolongo mrefu wa kuifikisha kwa mteja, kuanzia kuipoza (-260F), kuihifadhi na kuisafirisha. Hiyo ni gharama kubwa kwakuwa kote huko kunahitajika fedha na nguvukazi.

Nakuhakikishia gharama kubwa ya hii vita kwa Ulaya ni kupoteza hegemony ambayo ni maradufu ya ile collateral damage ya Urusi. Leo hii Urusi teyari wameshapata mbadala wa soko la gesi, karibia 70% ya soko la Ulaya limemezwa na wachina, wahindi na hata Pakistan, kote huko mihamala hawatumii dolar wala Euro.Teyari wanampango wakujenga bomba jingine la mafuta kwenda China.

BRICS, teyari imepata maombi ya wanachama wapya, including Saudi Arabia, hiyo OPEC yote inakwenda BRICS. Wachina wanao hold US bonds nyingi, sasa wananunua dhahabu kwa wingi kutoka Urusi. Watakapo kamilisha maombi ya BRICS kwa nchi za OPEC, petro dollar na hegemony yake ndiyo basi tena. Na kama hujui bila hegemeny nchi za Ulaya haziwezi ku survive.
Nani aliyesema uiamini Ukraine?, tumia akili kidogo ya kuelewa kinachoandikwa, nimekuambia vipi unaamini upande mmoja wakati pande zote mbili zimeshutumiana bila kuwa na ushahidi wowote?.

Hukupaswa kuiamini Urusi iliyodai kwamba chakula kilienda nchi za Ulaya ilihali Ukraine ilikanusha hayo madai, Wala hukupaswa kuiamini Ukraine, ulipaswa kubaki "Neutral" hadi upate uthibitisho, lakini wewe Moja kwa Moja umeamini kilichosemwa na Urusi na kupuuza kilichosemwa na Ukraine, tayari umeshaegemea upande mmoja.

Kuhusu hayo ya Urusi kupata soko lake la gesi Uchina na India na nchi zingine, Hilo halina uhusiano wowote wa Ulaya kupunguza utegemezi wa gesi ya Urusi. Lengo la Ulaya ni kushinda hii vita, wasiwasi wao ni kwamba Urusi inaweza kutumia gesi Yao Kama silaha dhidi Yao, hasa ktk hiki kipindi cha baridi. Pili ni ili waweze kutekeleza vikwazo dhidi ya Urusi, Urusi wakipata soko kwengine wao inawahusu nini?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli aliona mbali sana kuhamisha route ya SGR kutoka DRC via Rwanda to DRC via Burundi

Kwenye mambo kama haya ingetucost mno kufikia soko letu la DRC!
I thought ni yeye ndie aliyekuwa anapambania hii route?
 
Nani aliyesema uiamini Ukraine?, tumia akili kidogo ya kuelewa kinachoandikwa, nimekuambia vipi unaamini upande mmoja wakati pande zote mbili zimeshutumiana bila kuwa na ushahidi wowote?.

Hukupaswa kuiamini Urusi iliyodai kwamba chakula kilienda nchi za Ulaya ilihali Ukraine ilikanusha hayo madai, Wala hukupaswa kuiamini Ukraine, ulipaswa kubaki "Neutral" hadi upate uthibitisho, lakini wewe Moja kwa Moja umeamini kilichosemwa na Urusi na kupuuza kilichosemwa na Ukraine, tayari umeshaegemea upande mmoja.
Inashangaza kudhani leo Ukraine ghafla wamekuwa wema kutaka kusaidia waafrika chakula wakati vita ilipoanza waliwazuia wanafunzi wa kiafrika kupanda treni ili kukimbia vita.
Kuhusu hayo ya Urusi kupata soko lake la gesi Uchina na India na nchi zingine, Hilo halina uhusiano wowote wa Ulaya kupunguza utegemezi wa gesi ya Urusi.
Lengo kuu la vita hii (physical and economic) lilikuwa ni kudhoofisha uchumi wa Urusi ili iwe banana republic. Ambapo ingekuwa rahisi Ulaya kuigawa Urusi na kujichukulia rasilimali watakavyo (kama Libya). Hii ni ndoto yao toka zamani. Napoleon pamoja na Hitler walijaribu pia walijaribu kuivamia Urusi lakini walishindwa.

Urusi kupata soko inazuia uchumi wake kutetereka na hivyo kuzuia lengo la Ulaya kuitenga duniani na kuidhoofisha.

Lengo la Ulaya ni kushinda hii vita,
Ulaya wameshashindwa hiyo vita. Ukraine inaendelea kumegwa zaidi. Urusi itachukua Odessa, mpaka Transnistria. Na Poland itakuja kuichukua Lyviv, ambayo zamani ilikuwa sehemu ya yake.
wasiwasi wao ni kwamba Urusi inaweza kutumia gesi Yao Kama silaha dhidi Yao, hasa ktk hiki kipindi cha baridi. Pili ni ili waweze kutekeleza vikwazo dhidi ya Urusi, Urusi wakipata soko kwengine wao inawahusu nini?
Sababu ya vita ni kuisambaratisha Urusi, ili waweze kuitawala dunia. Ukishaitawala Urusi, China haitakuwa na jeuri kiuchumi kwasababu madini yote na nishati za aina zote ziko zilizojaa Siberia zitakuwa chini yao.
 
Back
Top Bottom