Fukara unasikia maumivu ukiwa upande gani wa uswazi? kulia, katikati ama kushoto? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Railway city loading.., Kenya sio Tanzania, infact France wako ready wanangoja Ruto govt wapeane go ahead.., Uhuru hakutoka bure..,
View attachment 2432413
View attachment 2432414
French govt wanangoja serikali ya Ruto kuwapea okay ili firms zao ziwekeze.., wako tayari kwa PPP investement..,
View attachment 2432419
View attachment 2432420
Mombasa Japan wameanza kazi ya Special Economic Zone.., mtangoja sana tena sana...,