Technically yes but on paper we have our own paper tigerGermany is the biggest economy in Europe, is Tanzania the biggest in EA?![]()

Technically yes but on paper we have our own paper tigerGermany is the biggest economy in Europe, is Tanzania the biggest in EA?![]()

Just imagine ndio 5th tier city yetu baada ya Arusha, Zanzibar City, Dar na Mwanza, kwao Eldoret ndio 5th wakati Eldoret hata hatua 2 humalizi kama Kisumu tu 😅😅😅
Do you have cities in Tanzania apart from Dar?Just imagine ndio 5th tier city yetu baada ya Arusha, Zanzibar City, Dar na Mwanza, kwao Eldoret ndio 5th wakati Eldoret hata hatua 2 humalizi kama Kisumu tu 😅😅😅
View attachment 2432169
Uganda is poised to be more of an anchor than Tanzania.Technically yes but on paper we have our own paper tiger![]()
Eldoret ni market center au village rituals altar?Do you have cities in Tanzania apart from Dar?
Eldoret can floor your second city hands down.Eldoret ni market center au village rituals altar? View attachment 2432180
hii nchi imejaa vilaza!
Mwanza wamepata masterplan nzuri sana ya waterfront yao, Mwanza wanaungwa na SGR hivi karibuni wanatakiwa wachukue hiyo fursa haraka sababu watakuwapo watu watakojisikia tu kupanda SGR kuelekea Mwanza for leasure, Mwanza wajipange na hili sababu utalii utakua mkubwa sana kutokana na urahisi wa usafiri
Nimependa waterfront yao itazingatia sana utalii wa vyakula kama mapishi ya Sato na Sangara kama Forodhan Zanzibar na michezo ya kwenye maji ikiwemo kutengeneza fukwe kubwa ya hectares 9
Absolutely, Yes.Germany is the biggest economy in Europe, is Tanzania the biggest in EA?![]()
Wewe una mambo ya kike sn yn tangu siku ile watu tumekuponda kuhusu kutetea wazazi kurudi shule na cku ile JPM kumtimua daktari mpumbavu tukakueleza ukweli basi ndiyo umesusa mpk leo. Mambo ya kike hayo kuhifadhi hifadhi vitu rohoni, mtoto wa kiume ukielezwa ukweli unakubali zen unasahau una move on, wewe umeyaweka rohoni tu badilika wewe.Kwa hiyo shida yako ni jinsi anavyo-address watu? Kwa hiyo watu wanaozungumza Kwa namna fulani wote ni mashoga? Kama nilivyosema mwanzo, sexuality ya mtu ni yake na kila mtu anajifahamu mwenyewe. Hizi generalizations zako hazina mantiki na hazina mashiko. Unamuita Shoga kwasababu kwenye jamii nyingi za Kiafrika mashoga ni watu wanaodharauliwa na wanaopuuzwa na kutengwa kwasababu wako tofauti na jinsi jamii ilivyozoea.
And by the way, I have never claimed to be a saint. As a matter of fact, I have spoken against saints many times before. Sijawahi kuongea vibaya against marginalized groups. Kama vendettas na baadhi ya Wakenya Mbona nilikuwa nazo nyingi tu, lakini niliona hakuna haja ya kubishana na wakenya huku mentality ya watanzania wenzangu ndiyo Ina tatizo.
Lakini sijalenga watanzania kwenye reply yangu. Na hakuna sehemu nimeandika “watanzania.” Na sijatetea wakenya pia. Nimetetea UTU WA MTU, bila kujali nationality.
Weka tena attachment nashindwa kuifungua mkuu.
Germany doesn't come with these kind of excuses. You can't walk with Lions when you still have the excuses of mongrels. That's why you can't be Germany.🚮🚮Technically yes but on paper we have our own paper tiger![]()