Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nimetukana wapi hapo mbona povu hivi,uchawa mwisha namanga sawa, huku ni forum ya kenya
Hater naona unajaribu kuhimili Maumivu ya ndani kwa ndani 😜😜😜.

Jikaze tuu utazoea 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-135530.png
    Screenshot_20221130-135530.png
    246.8 KB · Views: 9
haya naomba uniblock mkuu sijazoea kutukana,
Sinaga huo ujinga na Mimi kazi yangu Ni kuwakera haters wa SSH,mtaita kila jina Ila sijawahi toka kwenye reli..

PhD ya heshima ameipata kutokana na mchango wake mzuri kwenye Uchumi na diplomasia.

Ukitaka sawa,ukinuna sawa none of my business 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221126-155956.png
    Screenshot_20221126-155956.png
    164.7 KB · Views: 10
Sinaga huo ujinga na Mimi kazi yangu Ni kuwakera haters wa SSH,mtaita kila jina Ila sijawahi toka kwenye reli..

PhD ya heshima ameipata kutokana na mchango wake mzuri kwenye Uchumi na diplomasia.

Ukitaka sawa,ukinuna sawa none of my business 👇
mi nimeuliza umeweka picha kumaanisha nini? Kwani wakenya hawana rais, heading ya uzi mbona ipo tofautini na picha
 
mi nimeuliza umeweka picha kumaanisha nini? Kwani wakenya hawana rais, heading ya uzi mbona ipo tofautini na picha
Kwani huwa humuoni humu wakimpost Kama Kuna tukio linamhusu?

Afu nyie Sukuma gang mna shida sana,mumejaza mapicha picha ya Mwendazake karibu kila ukulasa..

Mwisho usinichoshe Kama unakereka pita kule bwege wewe,ukiza wenzako wananijua vizuri msimamo wangu..
 
Kwani huwa humuoni humu wakimpost Kama Kuna tukio linamhusu?

Afu nyie Sukuma gang mna shida sana,mumejaza mapicha picha ya Mwendazake karibu kila ukulasa..

Mwisho usinichoshe Kama unakereka pita kule bwege wewe,ukiza wenzako wananijua vizuri msimamo wangu..
Sukuma gang nani? Unamsimamo gani wewe mbona naweza kukuoa na mali nikatoa mia 500
 
joto la jiwe ebu leta kile kiherehere chako hapa kidogo.

What's the best way of treating human waste (to be used as fertilizer) without use of chemical? Anybody else with the knowledge can contribute.
 
sawa boss..
lakini jua google inasema high blood pressure is from 130/80 or more
then 180/120 is a medical crisis urgency..
as in, an ambulance emergency!....
Nakushauri ukaushe tu unaongea v2 usivyovijua
 
Back
Top Bottom