Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The Kenyan one looks better
SGR-train.jpg


20221025_155457-jpg.2406750
In what aspects?
 
Nilidhani kidogo umestaarabika na unaweza kujenga hoja bila matusi, ndio nikaamua kujibu post zako nikitegemea umejifunza busara na hekima za kujadiliana bila kutukana, kumbe tabia ni Kama ngozi ya mwili hauwezi kuibadili. Wewe sio mzima kiakili
Ukiona mtu anajibu hoja kwa matusi ujue amefilisika na jibu lake huwa ni kumnyamazia tu. Achana naye huyo tulishampotezea.
 
Economic ya wapi kesho marubani wanagoma KQ haziruki mmewaibia hela za mafao (pension fund)
Kenya kila mtu hadi mfanyikazi ana Uhuru wa kugoma na kuteta akiwa kazini sio kama CCM Tanzania. Ndio maana mfanyi kazi wa kawaida wa Kenya analipwa hela nyingi kuliko mfanyikazi mtanzania
 
Wewe unamatatizo sio bure,kwahyo Tz ikiwa na mahusiano na China tu ndio inatosha?China yenyewe inafanya biashara na dunia nzima ndio mana wako hapo walipo..Achana na huu upumbavu wako kabisa, unafikiri kuwachukia West ndio kutasaidia nn? We kweli hamnazo
Sasa mkuu mbona na wewe umeanza kujibu kama fulani hapa? Hasira imechukua mkondo wake
 
Yani Kenya kuna drought na bado uchumi wetu unazidi Tanzania nchi ya asali na maziwa low IQ mnayo bana
Ukweli wa uchumi sio maneno ni ground, kwn uchumi wenu wa kimavi mavi si unaandikwa kwenye karatasi kwamba umezidi ule wa North Korea? Haya ground je? Je uchumi wenu wa kimavi mavi si unaandikwa kwenye karatasi umezidi ule wa Tz? Je ground?
 
Sijasahau kazi ya mwamba lahasha

Viapaumbele ya SSH kwa navyoliona game lake ni kama ifuatavyo
1.Afya (kwasasa ruzuku za dawa zinafika kwa wakati,vifaa vya kisasa vinakuja mara kadhaa na kaongeza watumishi )
2.Elimu(kuondoa ada f6,kuongeza budget ya mkopo wanafunzi wa vyuo vikuu,fedha za tafiti nk), kijenga madarasa elimu ya sekondari na kuajiri walimu)
3.Mazingira rafiki ya biashara na uwekezaji(task force kuondolewa watu wamalipa kodi bila kutumia nguvu kubwa, apa hata revenue imeongezeka)
4.Kilimo..(kupandisha budget ya kilimo×4 na kuanzisha block farms nk)
Namba 3 nakuelewa hii iliwatesa watu wengi sana.
 
At least watu wenye mindset finyu kama yako hawaongozi nchi. Na hakuna elimu yenye propaganda kama unayoisema hapa Tanzania. Kwamba darasani mnafundishwa kupenda China na Russia na kuchukia western nations? China is just as imperial and capitalistic like many western countries. You just haven’t conceived it yet. You’re still naive and ignorant.

Someone on here had the audacity to mention that our relationship with China is so special, we must offer them a chance to invest in Tanzania without any form of taxation. The class of thought people like you impose on this site shows how foolish you are.

I’m not trying to patronize the West – please don’t get me wrong. I separate personal grievances when I discuss political matters because the world isn’t black and white as you claim. It’s more complex than that.
Wapi nimesema Wawekezaji wa Kichina wasilipe kodi? Hivi wajua kwanini sisi Watanzania tunawachukia nyie Wakenya? unajua ilikua ni policy ya nchi kuwachukia nyie na Malawi?

Sasa unaposema eti hakuna na mafundisho hayo, una maanisha lini these days or huko nyuma? unajua kabla ya kuingia darasani tulikua tunakimbia mchaka-mchaka na unajua kila mtoto alikua member wa chipkizi? wajua nyimbo zilikua zikiimbwa kwenye mchakamchaka na chipkizi kuhusu Jomo, Moi, Kenya, Kamuzu Banda, Malawi, Makaburu, China, Mao?

Wajua tafsiri ya "Sizitaki Mbichi Hizi"? Wajua simulizi za "Kibanga Ampiga Mkoloni"?


Watanzania tunajuana kwa mengi sana sio Kiswahili tu ama kuishi kwa muda Tanzania na kujifanya ni Mtanzania, mnavyofanya Wakenya.
 
Wapi nimesema Wawekezaji wa Kichina wasilipe kodi? Hivi wajua kwanini sisi Watanzania tunawachukia nyie Wakenya? unajua ilikua ni policy ya nchi kuwachukia nyie na Malawi?

Sasa unaposema eti hakuna na mafundisho hayo, una maanisha lini these days or huko nyuma? unajua kabla ya kuingia darasani tulikua tunakimbia mchaka-mchaka na unajua kila mtoto alikua member wa chipkizi? wajua nyimbo zilikua zikiimbwa kwenye mchakamchaka na chipkizi kuhusu Jomo, Moi, Kenya, Kamuzu Banda, Malawi, Makaburu, China, Mao?

Wajua tafsiri ya "Sizitaki Mbichi Hizi"? Wajua simulizi za "Kibanga Ampiga Mkoloni"?



Watanzania tunajuana kwa mengi sana sio Kiswahili tu ama kuishi kwa muda Tanzania na kujifanya ni Mtanzania, mnavyofanya Wakenya.
Nyingine hii,"Bwana Brown ashika tama".
 
Wewe unamatatizo sio bure,kwahyo Tz ikiwa na mahusiano na China tu ndio inatosha?China yenyewe inafanya biashara na dunia nzima ndio mana wako hapo walipo..Achana na huu upumbavu wako kabisa, unafikiri kuwachukia West ndio kutasaidia nn? We kweli hamnazo
Wapi nimesema Tanzania kuwa na mahusiano na China inatosha?? Na wewe unafikiri kuwapenda Westerners kutakusaidia nini?

KWANI NA WEWE NI MPUMBAVU HIVI?

Kutompenda mtu haimaanishi usishirikiane nae, ama, kushirikiana nae haimaanishi unampenda. Why this is so difficult to fathom?

Tunashirikiana na Kenya na kufanya Biashara na Kenya, right? Ila ndio Taifa tunalichukia kuliko Mataifa yote Africa. wewe una upumbavu wa kurithi? Soma elewa, usiwe mpumbavu.
 
Mnaobeza kujengwa kwa bandari ya bagamoyo poleni sana.

1. Dar es salaam haitakua na uwezo wa kupokea containers kwa wingi kama itakavyokua bagamoyo in 10 years time.

2. Distance kutoka Tanga au mtwara to Dar na distance kutoka bagamoyo to Dar ni sawa? Yani mtu ana biashara zake dar, aanze kuutoa mzigo bandarini tanga sijui mtwara kwa ma lorry aje nao dar aanze kuuza wakati kutokea bagamoyo unaweza kuusafirisha kwa gharama nafuu na kuufanyia biashara Dsm kiurahisi.

3. Kwa sasa Dar inaanza kujaa na watu wanahamia pwani huku wanafanya kazi Dar, nani ataishi Tanga au mtwara afanye kazi dsm in a day? Hamuoni urahisi kama Bandari ikijengwa Bagamoyo then mji unakua kwa haraka na itafika stage bagamoyo inaweza isiwe pwani tena(maono tu)

So mnaoikataa Bandari ya Bagamoyo poleni tena, I personally have faith in the the BSEZ. Acha Mji ukue.

Wewe kama hupendi ijengwe toa sababu zako ila kama barrier ni mkataba serikali si imesema inaanza yenyewe.

Tuwe positive at times
 
Ukweli wa uchumi sio maneno ni ground, kwn uchumi wenu wa kimavi mavi si unaandikwa kwenye karatasi kwamba umezidi ule wa North Korea? Haya ground je? Je uchumi wenu wa kimavi mavi si unaandikwa kwenye karatasi umezidi ule wa Tz? Je ground?
1. Kwa ground Tanzania iko na 12k km of paved roads while Kenya has 22km

2. Kwa ground Tanzania has 10k health centers while Kenya has 13k

3. Kwa ground Tanzania have 24k schools while Kenya has 48k.

4. Kwa ground Kenya is controlling Tanzanian economy.
 
Back
Top Bottom