joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Sasa linganisha gharama za kila safari na hivyo vilivyopatikana, na ujiulize je hiyo mikopo isingepatikana bila rais kusafiri?1.Faida ya USA tayari nimeeleza hapo juu sirudii..
2.Ufaransa watajenga Terminal 111,
3.Dubai inaikopesa serikali bil.979,
4.West Africa-Serikali ilipata ruhusa ya kuanza kupeleka bombadia zetu huko deadline ni mwakani..japo ziara ya West Africa haikuwa ya kiserikali rasmi..
5.Oman watakarabati Uwanja wa KIA,watatoa pesa kwenye umeme n.k![]()
1)Mkopo wa Tanzanite bridge ulipatikana bila rais kusafiri
2)Mkopo wa Flyover ya TAZARA rais hakusafiri
3)Mkopo wa Ubungo Flyover rais hakusafiri
4)Mkopo wa BRT awamu ya 2&3 rais hakusafiri
5)Mkopo wa uwanja wa ndege Msalato rais hakusafiri
6)Kutokana na servings za rais kutosafiri hovyo tumeweza kununua ndege na kufufua ATCL
Tuambia ni jambo gani (tangible) limetokana na safari za mama Kama sio nadharia na theories?


.. anyway




